Hongereni sana Zantel kwa internet nzuri Dar

Hongereni sana Zantel kwa internet nzuri Dar

mdhalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
282
Reaction score
273
Kama unatumia simu ya 4G na upo Dar nakushauri tu utumie Zantel kwenye data. Hawa jamaa ni hatari sana aisee. Binafsi nateleza na bundle za chuo GB 10.5 Kwa tsh 10,000 mwezi mzima. Halotel wamejisahau nimewakimbia
 
Kama unatumia simu ya 4G na upo Dar nakushauri tu utumie Zantel kwenye data. Hawa jamaa ni hatari sana aisee. Binafsi nateleza na bundle za chuo GB 10.5 Kwa tsh 10,000 mwezi mzima. Halotel wamejisahau nimewakimbia
Line zao zinapatikana wapi mkuu za chuo mitaani zipo?
 
Kama unatumia simu ya 4G na upo Dar nakushauri tu utumie Zantel kwenye data. Hawa jamaa ni hatari sana aisee. Binafsi nateleza na bundle za chuo GB 10.5 Kwa tsh 10,000 mwezi mzima. Halotel wamejisahau nimewakimbia
Na sisi tunao tumia Gb7 kwa efu 5 tu TTCL
Uki tia msimbazi una 14Gb tusemeje sasa na kasi yake sio mchezo
 
Kama unatumia simu ya 4G na upo Dar nakushauri tu utumie Zantel kwenye data. Hawa jamaa ni hatari sana aisee. Binafsi nateleza na bundle za chuo GB 10.5 Kwa tsh 10,000 mwezi mzima. Halotel wamejisahau nimewakimbia
Speed vp
 
Na sisi tunao tumia Gb7 kwa efu 5 tu TTCL
Uki tia msimbazi una 14Gb tusemeje sasa na kasi yake sio mchezo
TTCL wanazingua kuna site wana zi bann usipakue kitu hasa za kupakua korean drama nyingi zinazingua na hii wameanza karibuni tu huu mchezo maana kipindi hiko ilikuwa poa tu kupitia lile bundle ya TOBOA PACK kwa 1000 GB 10
 
Back
Top Bottom