Naomba ku-declare interest mimi sina uhusiano wa aina yoyote na Kampuni ya Usafirishaji Kimbinyiko. Nimekuwa nikisafiri mara kwa mara kutoka Dar kwenda Dodoma and vice versa. Mabasi ya hii kampuni ni classic, huduma safi, wahudumu wachangamfu na nadhifu, ukiketi kitini unaweza kudhania upo ndani ya ndege. Kwa kweli mpo vizuri sana. Big up sana Kimbinyiko bus services. Mnyonge myongeni....