FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Hio hapo.., mmefanya kazi nzuri!
We omba tu.., na mi nikiomba utanipa.., ebo!Hiyo itakua jumapili....tena hapo ni mnazi mmoja..
Naomba ya round about uhuru
We omba tu.., na mi nikiomba utanipa.., ebo!
Kunq ubaya kuombana...
Hamna picha iliyopigwa jumapili hapo, zote nimepiga siku za kawaida, ile ya skyline nimepiga kutokea manzese na nyingine jenge la ushirka pale mnazi mmoja.Hiyo itakua jumapili....tena hapo ni mnazi mmoja..
Naomba ya round about uhuru