Hongereni kwa chupa mpya na mvinyo mpya.......

Hongereni kwa chupa mpya na mvinyo mpya.......

Wale mbuzi waliozoea ukitaja majina ya timu na wachezaji hawaoni ndani watataka uwashe taa..ila wazoefu wa ligi wanatambuana kwa jezi na aina ya uchezaji.mashabiki wengi leo watupunguza matusi maana hawajaelewa kashasha kasemaje hapa.big up
 
Hata idadi ya mashabiki wanaoingia uwanjani imepungua sana, maana wanajua kabisa refa tayari ana timu yake.
 
Lakini kuna kautata kidogo nakaona ,inakuweje unashiriki ligi ambayo refa kabeba matokeo ,vibendera wanasema sawa ,Polis wa uwanjani wamevaa sare ya timu unayopambana nayo TFF ukipeleka lalamika nao wamevaa sare .

Hapo tu Kwanini uingize timu uwanjani? Naombeni jibu hii kitu inanitatiza sana.
Wanataka kufa kiume
 
Back
Top Bottom