Hongereni kwa chupa mpya na mvinyo mpya.......

Hongereni kwa chupa mpya na mvinyo mpya.......

mansolata

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
502
Reaction score
319
Habari wana jf

ANGALIZO USIKURUPUKE KWENYE UZI HUU,,,,,,kama unaupeo mdogo wa kufikiri usijiangaishe

Mheshimiwa M/kiti hongera sana kwakua mikakati yako imefaulu kwa asilimia 88℅
Hakuna tena fyokofyoko Kimya!

Wale power comvicer woote ni thooflhal!...waliopo wameufyata..mithili ya mbwa koko.....hongera umefanya uma wao ukate tamaa . Fanya utakavyo mkuu [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] kocha ni wewe Refa niwewe ,mchezaji ni wewe.

Mkuu alie shauri mbinu hii usimtupe mpe kofia atupenyingine ya kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja....ajira kwa vitukuu vyetu...nk

Lakini hakuna Yanga bora bila Simba bora...kuishusha daraja timu moja ni kushusha hari na hadhi ya kijiji chetu katika soka..[emoji41] nakuona hapo unavyoshangilia ushindi...mmmmh! lakini mbona umepooza ushindi huu ...tia ndimu kidogo ichachue,,[emoji36] ,,yaweza saidia.

Mkuu wanadai wanachezewa rafu...wanadai ile kadi nyekundu so halali...wanadai ile si penati......dah! M/kiti usipuuze hoja zao.....mashabiki wakichoka uonevu yaweza kuja maafa....[emoji97]

Teh! Teh! Teh! iledhana ya mpira ni burudani burudani iko wapi sasa ....no fair play[emoji30]
 
Nyoooooh! huwezi kuingia kichwakichwa kwenye ligi ya mwaka huu sijui bingwa ninani?
 
Mwanzo, abiria wa kwenye roli walikuwa wamekaa mkao ambao kila mtu alikuwa anaangalia upande wake! Sasa abiri wote wanaangalia mbele alipo dereva!
 
Mashabiki wenyewe wamekaa uwanjani kama wamemwagiwa maji yaliyotoka kwenye freezer, wapo KIMYAAAAA...

Hata washabiki wa timu iliyochukua ubingwa (Leicester City) wote wamekaa kimya, nadhani wakishangilia wote watanyang'anywa u'member'.

Nimependa jambo moja tu msimu huu, kila anayependa soccer ⚽ hajui hatma ya mdhamini wa league ili kuongezeka kwa posho.


NB. Kama upeo wako ni mdogo pita mbali na comment hii 😂 😂!.
 
Lakini kuna kautata kidogo nakaona ,inakuweje unashiriki ligi ambayo refa kabeba matokeo ,vibendera wanasema sawa ,Polis wa uwanjani wamevaa sare ya timu unayopambana nayo TFF ukipeleka lalamika nao wamevaa sare .

Hapo tu Kwanini uingize timu uwanjani? Naombeni jibu hii kitu inanitatiza sana.
 
JF hii tabia ya kuambiana "kama upeo wako mdogo usi..." mara "uwezo wako kufikiri ni wa chini" na mengineyo kama hayo mengi tu

Kwanza, Me huwa naona kama ni mtu kujipaisha tu aonekane ana thinking capacity kubwa

Pili, naona mtu huyo anaogopa kushambuliwa kwa hoja maswali na mengineyo kwahiyo kauli hizo anazitumia zikiwa ni defensive mechanism

Tatu, je unaposema "kama wewe uelewa wako upo kadhawakadha usi..." je, mtu atawezaje kujitambua kama yeye uwezo wake wa kufikiri upo hivyo au Laa!?

Mwisho, acheni kuwafanya watu kwa kauli zenu washindwe kuchangia mada
 
Lakini kuna kautata kidogo nakaona ,inakuweje unashiriki ligi ambayo refa kabeba matokeo ,vibendera wanasema sawa ,Polis wa uwanjani wamevaa sare ya timu unayopambana nayo TFF ukipeleka lalamika nao wamevaa sare .

Hapo tu Kwanini uingize timu uwanjani? Naombeni jibu hii kitu inanitatiza sana.
Wanashiriki ili mashabiki ambao ndo hutoa sauti uwanjani huenda wakaona hii faulo ili kesho wajue wanaamua nini kwa mechi za kujipangia matokeo. Huenda wasilipe viingilio maana wanakosa ladha ambayo walienda kuitazama na ikatoa matokeo sawa na wasio na nguvu uwanjani maana wote watakosa mapato
 
Habari wana jf

ANGALIZO USIKURUPUKE KWENYE UZI HUU,,,,,,kama unaupeo mdogo wa kufikiri usijiangaishe

Mheshimiwa M/kiti hongera sana kwakua mikakati yako imefaulu kwa asilimia 88℅
Hakuna tena fyokofyoko Kimya!

Wale power comvicer woote ni thooflhal!...waliopo wameufyata..mithili ya mbwa koko.....hongera umefanya uma wao ukate tamaa . Fanya utakavyo mkuu [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] kocha ni wewe Refa niwewe ,mchezaji ni wewe.

Mkuu alie shauri mbinu hii usimtupe mpe kofia atupenyingine ya kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja....ajira kwa vitukuu vyetu...nk

Lakini hakuna Yanga bora bila Simba bora...kuishusha daraja timu moja ni kushusha hari na hadhi ya kijiji chetu katika soka..[emoji41] nakuona hapo unavyoshangilia ushindi...mmmmh! lakini mbona umepooza ushindi huu ...tia ndimu kidogo ichachue,,[emoji36] ,,yaweza saidia.

Mkuu wanadai wanachezewa rafu...wanadai ile kadi nyekundu so halali...wanadai ile si penati......dah! M/kiti usipuuze hoja zao.....mashabiki wakichoka uonevu yaweza kuja maafa....[emoji97]

Teh! Teh! Teh! iledhana ya mpira ni burudani burudani iko wapi sasa ....no fair play[emoji30]
Mkuu, ujumbe murua kaabisa!
 
Lakini kuna kautata kidogo nakaona ,inakuweje unashiriki ligi ambayo refa kabeba matokeo ,vibendera wanasema sawa ,Polis wa uwanjani wamevaa sare ya timu unayopambana nayo TFF ukipeleka lalamika nao wamevaa sare .

Hapo tu Kwanini uingize timu uwanjani? Naombeni jibu hii kitu inanitatiza sana.
Sheria za fifa
 
Lakini kuna kautata kidogo nakaona ,inakuweje unashiriki ligi ambayo refa kabeba matokeo ,vibendera wanasema sawa ,Polis wa uwanjani wamevaa sare ya timu unayopambana nayo TFF ukipeleka lalamika nao wamevaa sare .

Hapo tu Kwanini uingize timu uwanjani? Naombeni jibu hii kitu inanitatiza sana.
Watoto wanaozaliwa Leo wajue timu ipo
 
Habari wana jf

ANGALIZO USIKURUPUKE KWENYE UZI HUU,,,,,,kama unaupeo mdogo wa kufikiri usijiangaishe

Mheshimiwa M/kiti hongera sana kwakua mikakati yako imefaulu kwa asilimia 88℅
Hakuna tena fyokofyoko Kimya!

Wale power comvicer woote ni thooflhal!...waliopo wameufyata..mithili ya mbwa koko.....hongera umefanya uma wao ukate tamaa . Fanya utakavyo mkuu [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] kocha ni wewe Refa niwewe ,mchezaji ni wewe.

Mkuu alie shauri mbinu hii usimtupe mpe kofia atupenyingine ya kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja....ajira kwa vitukuu vyetu...nk

Lakini hakuna Yanga bora bila Simba bora...kuishusha daraja timu moja ni kushusha hari na hadhi ya kijiji chetu katika soka..[emoji41] nakuona hapo unavyoshangilia ushindi...mmmmh! lakini mbona umepooza ushindi huu ...tia ndimu kidogo ichachue,,[emoji36] ,,yaweza saidia.

Mkuu wanadai wanachezewa rafu...wanadai ile kadi nyekundu so halali...wanadai ile si penati......dah! M/kiti usipuuze hoja zao.....mashabiki wakichoka uonevu yaweza kuja maafa....[emoji97]

Teh! Teh! Teh! iledhana ya mpira ni burudani burudani iko wapi sasa ....no fair play[emoji30]
Umenena vema sana ndugu,, wajuvi wa mambo tumekuelewa.
 
Hii sio poa yaan shabiki anahama timu Leo ,kesho anapata uenyekiti,wakati wanachama wakeleketwa wanasugua bench
 
Back
Top Bottom