Jaman huu mwaka kuna mkopo kweli? mbona kuna vyuo kma mwenge wanaripot 28/10 na mpaka xaxa hamna majina ya mikopo? mbona miaka ya nyuma mambo hayajawa magum hv? mara tcu raund ya 4 na bado wki mja wa2 waende chuo,mi kuna jins celewi au ndio siasa?
siasa na elimu ni hatar nchi hii haijali mtu wa chini kabisa we fikiria watu wanategemea kuripoti na hela wanazotegemea ni hesleb sas wafanyeje jaman waoneeni huruma nso ni watanxania we unafikiri mtu ataenda kuripot bila kuwa na uhakika na mkopo huo never ever