sasa mnashukuru nn? Mkopo umekopeshwa utalipa wote. Cha kuomba Edo ashinde maana kasema ilimu bure ila akipita msukuma pori utalipa hadi senti ya mwisho kama sisi tynavyolipa. Hakuna cha kusema asante it is govt. business na kibaya zaidi madeni haya yana-interest!!!