Daniel Muhina
Member
- Jun 16, 2012
- 38
- 13
Si rahisi kutoa pongezi hizi lakini nalazimika kusema hongereni sana. mmefanya kazi nzuri sana kwetu ss wa upande wa pili dhidi yenu, kwa miezi kadhaa Zzk amejitahidi kujipenyeza kwenye himaya zetu sina hakika sana ni kwa kiwago gani lakini ni kweli alijitahidi kujipenyeza! kwa kuwa Mungu bado anaipenda CCM amemuondoa asiendele na kazi hiyo- nasema tena hongereni saaaana,