Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,322
- 7,161
Salam wanajukwaa,
Kwanza nianze kuwapongeza ACT-Wazalendo kwa ukomavu mkubwa wa kisiasa waliouonesha hakika hii ni ishara ya kuwa ni chama ambacho kinaweka maslahi mapana ya Taifa mbele.
Katika wakati kama huu kususasusa ni ishara ya kuonesha utoto wa hali ya juu, kitu ambacho kitaonesha maturity ya hali ya juu ni kusimama ulipojikwaa na kuwa relevant na hali ya uwanja ilivyo kwasababu ukikaa kimya haitasaidia na utajiondoa masikioni mwa mapenzi na washabiki zako na mfano halisi ni pale wasanii mahili wanaposhindwa kutoa nyimbo mpya ili kukonga mioyo ya mashabiki wao hiyo hupelekea kusahaulika.
Nini CHADEMA mfanye?
Msishupaze shingo zenu hakikisheni kila nafasi mtakayopewa mnaichukua na kuweka watu mahiri ambao watawawakilisha vyema.
Ni muhimu sasa kukubaliana na hali ilivyo na kuungana kujenga nchi, mimi naomba na nyie CHADEMA muige huu mfano wa ACT-Wazalendo.
Asanteni sana muwe na siku njema.
Kwanza nianze kuwapongeza ACT-Wazalendo kwa ukomavu mkubwa wa kisiasa waliouonesha hakika hii ni ishara ya kuwa ni chama ambacho kinaweka maslahi mapana ya Taifa mbele.
Katika wakati kama huu kususasusa ni ishara ya kuonesha utoto wa hali ya juu, kitu ambacho kitaonesha maturity ya hali ya juu ni kusimama ulipojikwaa na kuwa relevant na hali ya uwanja ilivyo kwasababu ukikaa kimya haitasaidia na utajiondoa masikioni mwa mapenzi na washabiki zako na mfano halisi ni pale wasanii mahili wanaposhindwa kutoa nyimbo mpya ili kukonga mioyo ya mashabiki wao hiyo hupelekea kusahaulika.
Nini CHADEMA mfanye?
Msishupaze shingo zenu hakikisheni kila nafasi mtakayopewa mnaichukua na kuweka watu mahiri ambao watawawakilisha vyema.
Ni muhimu sasa kukubaliana na hali ilivyo na kuungana kujenga nchi, mimi naomba na nyie CHADEMA muige huu mfano wa ACT-Wazalendo.
Asanteni sana muwe na siku njema.