Hongera wizara ya elimu

Elimu ya Tanzania itaboreshwa na watanzania sisi wenyewe kwa kuungana na kuwa kitu kimoja tukiangalia wapi tumeanguka then nini tufanye tuweze kusimama kidete. Sio muda wa kutafuta mchawi huu. Ni muda wa mabadiliko. Lugha za matusi na kashfa zinaturudisha Misri jamani. Tuweke mipango mikakati ili tutoke kwenye hili jangwa la elimu mbovu tufike kanaan kwenye matarajio yetu tunayoyataka.
 
Kufutwa kwa certificate level kwenye vyuo vya ualimu kuendane na investiments za uhakika ktk sekta zingine za elimu ie curriculum yetu in general bi Majanga. Facilities za elimu yetu hazifai kwa matumizi halali ya binadamu, it's totally a mess, the learning environment in general, mahusiano kati ys mwalimu na mwanafunzi siku hizi maadili yameshuka, nn kinafanyika? Therefore mfumo wetu wa elimu kwa ujumla wake unahitaji reforms kubwa xana. Tunahitaji kutoka kwenye elimu ya kukariri ili kufaulu mitihani. TUTAFAKARI…,TUCHUKUE HATUA
 
ww ganja yako unachanganya na mavi mwl kamfundisha hd baba ako hujui ww ----
 
Hapa suala la msingi ni kuwaboreshea walimu mazingira ya kazi tu, mishahara mizuri na nyumba nzuri baaaaasi.
 

tu, twa, twao ???? una degree ngapi man
 
Unaposhangilia kufutwa kwa ngazi hiyo ya cheti, ndio umeboresha elimu?
Je unajua vigezo vya kuwapata hao walimu tarajali unatofauti gani na wa awali wa cheti?

Je umejisumbua kupata taarifa sahihi zaidi ya juu juu ju ya jambo hili?
 
Nina wasi wasi na malezi anayoyapata mtu mmoja anayejiita sijui Ganja nini....eti waalimu hawajitambui.?? Unajua kama huo ugali anaokulisha mzee wako bila kuwapo mwalimu usingeupata..?? Hiyo akili inayokufariji na kuhisi kwamba unajitambua bila waalimu waliotengeneza mazingira hayo ungeipata..??
Unadai kwamba walimu wanatishia kugoma halafu hawagomi...umewahi hata kujiuliza kwann huwa hawagomi..?? Hao unaowaita hawajitambui wanafikiria mbali sana zaidi ya wewe unaehisi unajitambua..wanajua kugoma kwao hakutawaathiri waajiri wao moja kwa moja Bali atakayeathirika ni mtoto Wa masikini ambaye hata kula yake ni shida..!! Kwa taarifa yako mwalimu n zaidi ya unavyomchukulia au kumfikiria..
 
Makalio yake, ndo huyu mtu kakalisha kalio eti nimfundishe afaulu mxyuuuu bora nkauze madira

Tumsamehe basi. data amenambia kuwa huyu ana mtindio wa ubongo...
Hapa nafanya juhudi za kumtafutia mwalimu wa special need...
 
Last edited by a moderator:
Tumsamehe basi. data amenambia kuwa huyu ana mtindio wa ubongo...
Hapa nafanya juhudi za kumtafutia mwalimu wa special need...

wenye mitindio ya ubongo ni walimu maana hata ukikutana nao kitaa ukaanza kupiga nao story utacheka wanachokizungumza hii kada bhana inahitaji msaada wa kisaikolojia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…