Hongera waziri wa nishati Mh. January Makamba kwa kuanza kuifufua sekta ya gesi asilia Tanzania

Haswaa na gesi ya kupikia kwa bei nafuu. Akiweza hayo kwangu Mimi ni kiongozi mzuri
Exactly mkuu, gesi ya kupikia iwe ya uhakika na nafuu, umeme uwe was uhakika na nafuu, mimi kama mwananchi wa kawaida na mlipa kodi nitataka hayo tu.
 
HOTUBA YA MWISHO WA MWAKA YA RAIS SAMIA
itakuwa hiv......
...tumefanikiwa kupokea wagen wengii kwa mwaka mzima
....tumefanikiwa kuipromote jinsia ya kike uko dunian
....tumefanikiwa kukamata magaid ya ndani ya nchi
....tumewakomesha wavujishaji wa taharifa za ikulu, mfano bwana yule wa 2014 na mwenye icon ya Jz with kenyan flag
...tumefanikiwa kuunda njia za kukusanya kodi na kuwaziba midomo wa tz wasilalamike
....tumegawa chanjo za bure kwa wingi na weredi mkubwa
.....tumejenga mabarabara mengi(lkn hayajulkan)
.....tumefanikiwa kusafiri nchi mbalmbal ambazo kipind cha bwana yule hatukuwai fanya
....tumedumisha mahusiano na majirani
... .tumepambana na machinga pia wale wanaofanya biashara na uhujumu ktk barabara za magari mijini
.....tumefanikiwa kuunda royal tour
......tumefanikiwa kukomesha ziara za kikazi za rais uko mikoani ili kupunguza gharama zisizo za msingi
.....tumeioromote Zanzibar
Asanteni ndugu wananchi kazi iendelee

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app


Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Kati ya maeneo ambayo marehemu Magufuli alifeli kupindukia ni kwenye gas. Wananchi wangejua makosa ambayo marehemu alifanya kwenye gas, hakika sijui kama wangeweza kuipata adhabu ambayo ingemstahili Magufuli.

Huu upuuzii wa kodi zote za kipuuzi, visingekuwepo. Ingewezekana kabisa kufuta kodi karibia zote, na bajeti ya serikali ikagharamiwa na gas kama ilivyo kwa Dubai, Qatar na Brunei ambazo bajeti za nchi zao zinaedeshwa kwa mapato ya gas na maafuta.

Kikwete alisema, alitarajia yeye kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania maskini. Muhongo alisema, tunaongeleaTanzania ya uchumi wa gas.

Mapato ambayo yamgepatikana kwenye gas, ukilinganisha na dhahabu, almasi na tanzanite, vyote hivyoi ukiweka pamoja ni peanut.

Magufuli alivyoona ameharibu, na ameshindwa kuwarudisha wawekezaji kwenye sekta ya gas, akaanza kuongea uwongo kuwadanganya wasio na akili eti gas yetu imeuzwa China!! Rais anaongea upuuzi kama huo, na wajinga wanamwamini!

Kwanza hakuna kampuni hata moja ya China iliyokuwa ama inafanya utafiti au kuchimba gas.
Ushahidi mkuu ndo tatizo kila mumoja wetu anaongea yakwake,mikataba ya awamu ya nne kuhusu gas ingelipelekwa hata bungeni tu kujadiliwa ningelikuelewa,hata yq awamu ya tano nazinazokuja,kama hazitakuwa zinapelekwa bungeni utapeli hautaisha,maana serikali kuu wanajifungia ndani na kuja na maamuzi yawe wrong au ok. Transparent,kusema rais wa mwisho wa maskini wakati umeforce gas itoke Mtwara mpaka Dar,kwa ahadi kedekede.
Upigaji TZ ni mkubwa ndo kinachoturudisha nyuma Serikali inatumia nguvu kubwa kuwanyamazisha watu wanaoenda kinyume na mawazo yao. Hebu tupeni katiba mpya tuone au tuwape upinzani only 5 years. Tutayapata majibu. KINACHO TUGHALIMU NI MIKATABA MIBOVU TUNAYOINGIA NA MAKAMPUNI MBALIMBALI.
 
Back
Top Bottom