Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Natoa pongezi za dhati kwa madiwani wa Arusha jiji kwa kukataa hila chafu za mfanyabiashara Masawe alietaka abadiliahiwe kiwanja cha kilombero apewe kaloleni azimio.Kama jiji wangefanya hivo ingepata hasara ya 6bil nilipata kuleta habari hizo hapa wengi wakapuuza ila this time madiwani wamesisimama imara na bold.Kikao cha jana cha full councill kimeamua kuwa uwanja wenye mgogoro wa Kilombero ubaki kwa huyo huyo Emorli Masawe licha ya ukiukwaji mkubwa wakati wa inunuzi
Hongereni sana
Hongereni sana