Hongera Trafiki Polisi Ubungo !

Hongera Trafiki Polisi Ubungo !

MpigfilimbiwaHamelin

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
652
Reaction score
169
Na-comment tu: Si kawaida kuwapongeza hawa jamaa, leo asubuhi tulikuta foleni iko Baruti!! lakini ilituchukua dakika14 tu kuvuka mataa ya Ubungo - Trafiki na polisi wengine waliojizatiti vyema walikuwa wakikamata wanaotanua na kuwatwanga faini palepale - WALIKOMAJE?
Kumbe wakiamua inawezekana. Ukiwa na la kuongezea tupia hapa, usipunguze tafadhali - wamenikosha sana leo, hasa kwa tunaotii sheria. Hongera kamanda C. Wambura na wenzako!
 
Na-comment tu: Si kawaida kuwapongeza hawa jamaa, leo asubuhi tulikuta foleni iko Baruti!! lakini ilituchukua dakika14 tu kuvuka mataa ya Ubungo - Trafiki na polisi wengine waliojizatiti vyema walikuwa wakikamata wanaotanua na kuwatwanga faini palepale - WALIKOMAJE?
Kumbe wakiamua inawezekana. Ukiwa na la kuongezea tupia hapa, usipunguze tafadhali - wamenikosha sana leo, hasa kwa tunaotii sheria. Hongera kamanda C. Wambura na wenzako!

Ndio maana siku zote tunasema traffic police ndio chanzo kikubwa cha foleni kwa maana mbili: Kupenda kuongoza magari sehemu zenye taa- kushindwa kuweka uwiano wa kuvuta magari 2. Kushindwa kusimamia sheria hasa kwa watanuaji. Kwanini askari hupenda kujikusanya kwenye taa?

Ingewekwa utaratibu kuanzia saa kumi wale askari wa Tigo wanakaa kwenye zile bara bara maarufu kwa drivers kutanua halafu taa zifanye kazi ya kuongoza magari. Askari waongoze tu wakati wa dharura mfano, msafara, ambulance, ajali etc
 
wakati nyie mkitumia dk 14 sisi tuliyokuwa tunatoka mwenge kwenda Buguruni tumetumia kama 1 hr kuvuka mataa, and I was just Mawasiliano sijui waliyokuwa nyuma yangu walitumia muda gani kuvuka,siku zote kuna wengi hulipa gharama za wengine, in fact wanatakiwa kubalance trafic flows kwa Barbara zote maana mtu anawahi anakoenda bola kujali yupo barabara kubwa ama dogo
 
kqa hilo nawapa pongezi trafik komesha kabisa hao wanao tanua
 
Unawasifia kwa siku moja? Wahurumie na wenzio wa mandela road
 
We kiazi hiyo barabara ya Morogoro hupewa kipaumbele zaidi kuliko ile ya Mandela/Sam Nujoma hivyo acha kuwavika pembe za sifa hao wazee wa favor...

Watu wanakaa hata saa nzima kusubiri waruhusiwe kuelekea ama Mwenge au Buguruni/Tabata kwa sababu tu nyie viazi mnaotoka au kwenda mkoa huko mpitishwe haraka haraka...
 
Na-comment tu: Si kawaida kuwapongeza hawa jamaa, leo asubuhi tulikuta foleni iko Baruti!! lakini ilituchukua dakika14 tu kuvuka mataa ya Ubungo - Trafiki na polisi wengine waliojizatiti vyema walikuwa wakikamata wanaotanua na kuwatwanga faini palepale - WALIKOMAJE?
Kumbe wakiamua inawezekana. Ukiwa na la kuongezea tupia hapa, usipunguze tafadhali - wamenikosha sana leo, hasa kwa tunaotii sheria. Hongera kamanda C. Wambura na wenzako!

Ulivyo wasifia hivyo ni vizuri tu, was was wangu ni wale walio pigwa faini wamepewa stakabadhi ya serikali halali? au minotifcatation tu. tunaweza kuona jamaa leo wamefanya vizuri, kumbe nao ndo walikuwa mavunoni shambani!!!! kuvunjika kwa pakacha nafuu ya.......................!!!
 
We kiazi hiyo barabara ya Morogoro hupewa kipaumbele zaidi kuliko ile ya Mandela/Sam Nujoma hivyo acha kuwavika pembe za sifa hao wazee wa favor...

Watu wanakaa hata saa nzima kusubiri waruhusiwe kuelekea ama Mwenge au Buguruni/Tabata kwa sababu tu nyie viazi mnaotoka au kwenda mkoa huko mpitishwe haraka haraka...

KWa 'like' zako tu nilijua wewe hujafurahishwa!lol...ndo maisha nkwela!!!!
 
Na-comment tu: Si kawaida kuwapongeza hawa jamaa, leo asubuhi tulikuta foleni iko Baruti!! lakini ilituchukua dakika14 tu kuvuka mataa ya Ubungo - Trafiki na polisi wengine waliojizatiti vyema walikuwa wakikamata wanaotanua na kuwatwanga faini palepale - WALIKOMAJE?
Kumbe wakiamua inawezekana. Ukiwa na la kuongezea tupia hapa, usipunguze tafadhali - wamenikosha sana leo, hasa kwa tunaotii sheria. Hongera kamanda C. Wambura na wenzako!

Hapo kwenye red, wanaaoongea hivyo ni watoto wa kike
 
sioni haja kamwe ya kueapibgeza hawa majambazi waliosajiliwa....
 
We kiazi hiyo barabara ya Morogoro hupewa kipaumbele zaidi kuliko ile ya Mandela/Sam Nujoma hivyo acha kuwavika pembe za sifa hao wazee wa favor...

Watu wanakaa hata saa nzima kusubiri waruhusiwe kuelekea ama Mwenge au Buguruni/Tabata kwa sababu tu nyie viazi mnaotoka au kwenda mkoa huko mpitishwe haraka haraka...

Mkuu tutake radhi hapa kwenye red wakazi wa Kimara, Mbezi, Kibamba na wengineo wote uliomaanisha! Sio sisi ni trafic!
 
Ndio maana siku zote tunasema traffic police ndio chanzo kikubwa cha foleni kwa maana mbili: Kupenda kuongoza magari sehemu zenye taa- kushindwa kuweka uwiano wa kuvuta magari 2. Kushindwa kusimamia sheria hasa kwa watanuaji. Kwanini askari hupenda kujikusanya kwenye taa?

Ingewekwa utaratibu kuanzia saa kumi wale askari wa Tigo wanakaa kwenye zile bara bara maarufu kwa drivers kutanua halafu taa zifanye kazi ya kuongoza magari. Askari waongoze tu wakati wa dharura mfano, msafara, ambulance, ajali etc

Hapo kwenye kuruhusu magari bila uwiano pana shida mnooo....Kuna matrafiki wa njia panda ya Chang'ombe unaweza kutamani kuwarushia mawe....
 
Ukiona hivyo ujue kuna mtu aliwa.tip na alikuwa mbezi hivyo walitaka apite ndo ikawa pona yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom