Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Usije kupotea kama Sembo!tunza post yako...
Usije kupotea kama Sembo!tunza post yako...
Hivi kweli huyu MTU aliishia wapi? Au ndiyo Manara mwenyewe na shombo zake za kibaguzi?Usije kupotea kama Sembo!
Hapana, Sembo ni mtani wetu na mtu muungwana. Hawezi kuwa yule kichaa ZZHivi kweli huyu MTU aliishia wapi? Au ndiyo Manara mwenyewe na shombo zake za kibaguzi?
Nkana hafungwi Kitwe. Iwe jua au mvua.
Dharau waliyo nayo baada ya kuifurusha Mbabane Swallows itawaponzaKwa kweli Simba ijipange kwa Nkana. Juzi niliwatazama kupitia lunnga wakicheza kule kwao Zambia ni timu nzuri na siyo ya kubeza. Tunakushauri wewe MNYAMA ujipange vilivyo. Hao siyo kama Mbabane Swallows.
Huo ndiyo ukweli.