Hongera sana kocha zahera na wachezaji wote

Wachezaji na kocha wametupa heshima kubwa sana sisi mashabiki wao sijutii kabisa michango yangu kwenye tawi langu ninayoitoa kila tukiwa nagame.

Yanga Daima
 
Nkana hafungwi Kitwe. Iwe jua au mvua.
Screenshot_2018-12-11-06-11-01.png
 
Kwa kweli Simba ijipange kwa Nkana. Juzi niliwatazama kupitia lunnga wakicheza kule kwao Zambia ni timu nzuri na siyo ya kubeza. Tunakushauri wewe MNYAMA ujipange vilivyo. Hao siyo kama Mbabane Swallows.
 
Kwa kweli Simba ijipange kwa Nkana. Juzi niliwatazama kupitia lunnga wakicheza kule kwao Zambia ni timu nzuri na siyo ya kubeza. Tunakushauri wewe MNYAMA ujipange vilivyo. Hao siyo kama Mbabane Swallows.
Dharau waliyo nayo baada ya kuifurusha Mbabane Swallows itawaponza
 
Back
Top Bottom