Hongera sana ITV kwa hili

Hongera sana ITV kwa hili

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Kituo cha Itv kimejitolea kuchukua nafasi ya kuwatangazia shughuli zoote za uchaguzi kila mahali hapa nchini kwa juhudi kubwa kuliko hata tv ya taifa.
 
vituko msamiz wa kituo cha mtongani anasema ana aleji na tv maana ITV wwalikuwa wanachukua moja kwa moja
 
vituko msamiz wa kituo cha mtongani anasema ana aleji na tv maana ITV wwalikuwa wanachukua moja kwa moja

Teeeeeh teeeeeeh teeeeeh haya majanga ya ccm
 
Big up ITV....nilishangaaa sana jana KITUO kimoja hivi kikubwa sana cha habari, eti wameweka maigizo wakati watu wako bize na kupata taarifa za matukio ya uchaguzi unaendaje na ulikuwaje katika maeneo Mengine.... duh... ITV salute.....
 
Big up ITV....nilishangaaa sana jana KITUO kimoja hivi kikubwa sana cha habari, eti wameweka maigizo wakati watu wako bize na kupata taarifa za matukio ya uchaguzi unaendaje na ulikuwaje katika maeneo Mengine.... duh... ITV salute.....

ITV itaendelea kuwa super brand tv
 
Wewe acha upambe, Azam TV sio mchezo. Acha kukalilishwa
 
Big up ITV....nilishangaaa sana jana KITUO kimoja hivi kikubwa sana cha habari, eti wameweka maigizo wakati watu wako bize na kupata taarifa za matukio ya uchaguzi unaendaje na ulikuwaje katika maeneo Mengine.... duh... ITV salute.....

ITV kwangu mimi ndio tv ya taifa
 
Back
Top Bottom