Hongera sana Halima Mdee

Hongera sana Halima Mdee

Crocozilla

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
469
Reaction score
335
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa pongezi zangu za dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu kwa huyu mwanamke jasiri Halima Mdee kwa jinsi ambayo ameweza kupigania haki yake ambayo ilishapokwa.
Jamani ni ngumu sana kuwa mbunge hasa ukitokea kambi ya upinzani hapa Tanzania tena ukiwa mwanamke!!
Wote wataitwa wabunge ila wengine wamefika kwa kupitia mazingira magumu sana kwa kweli.
Wanachakachua mno jamani duuu!
Halima Mdee wewe hunijui lakini nasema wewe ni IRON LADY unayejali wanzania woooote na Mungu akubariki sana.
Hivi bunge linawezekanaje bila Mdee?
Yeye ni Asset hata kwa sisi tusio na chama kabisa!
 
Nampongeza sana Halima maana walitaka kumpora tonge mdomoni.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa pongezi zangu za dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu kwa huyu mwanamke jasiri Halima Mdee kwa jinsi ambayo ameweza kupigania haki yake ambayo ilishapokwa.
Jamani ni ngumu sana kuwa mbunge hasa ukitokea kambi ya upinzani hapa Tanzania tena ukiwa mwanamke!!
Wote wataitwa wabunge ila wengine wamefika kwa kupitia mazingira magumu sana kwa kweli.
Wanachakachua mno jamani duuu!
Halima Mdee wewe hunijui lakini nasema wewe ni IRON LADY unayejali wanzania woooote na Mungu akubariki sana.
Hivi bunge linawezekanaje bila Mdee?
Yeye ni Asset hata kwa sisi tusio na chama kabisa!

Ila Mshaurini Basi Apunguze Kupenda Na Kutumia Kwake MSUBA Na Wale MASELA Wa Pale BASIHAYA. Sasa Masuala Ya USELA Nnya Aachane Nayo Na AJITAMBUE. Binafsi Bila KUPEPESA MACHO au KUTIKISA MASIKIO Japo Ni Mwana CCM KINDAKI NDAKI Na Tena NILIYETUKUKA Lakini From The Bottom Of My Heart NAMKUBALI Sana Dada Halima Mdee Na Ni Mfano Mzuri Wa Kuigwa Kwa Akina DADA ZETU Wengine.
 
Ila Mshaurini Basi Apunguze Kupenda Na Kutumia Kwake MSUBA Na Wale MASELA Wa Pale BASIHAYA. Sasa Masuala Ya USELA Nnya Aachane Nayo Na AJITAMBUE. Binafsi Bila KUPEPESA MACHO au KUTIKISA MASIKIO Japo Ni Mwana CCM KINDAKI NDAKI Na Tena NILIYETUKUKA Lakini From The Bottom Of My Heart NAMKUBALI Sana Dada Halima Mdee Na Ni Mfano Mzuri Wa Kuigwa Kwa Akina DADA ZETU Wengine.
Huna lolote gamba,kamwe huwezi takia mazuri mwana ukawa acha unafiki!Halima ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm
 
Hongera. Sasa nimepta amani utakapokuwapo bingeni. Hii vita tulikuwa wote kisaikolojia sie tukisali wewe uko front. Ila sasa hangaikieni hizo majumuisho ya ajabu ajabu yanayotangazwa
 
Nimeamini kweli CCM wezi, yaani walitaka kumchezea Halima hivi hivi.
Congrats Halima Mdee, mapambano yanaendelea.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kutoa pongezi zangu za dhati kabisa toka ndani ya moyo wangu kwa huyu mwanamke jasiri Halima Mdee kwa jinsi ambayo ameweza kupigania haki yake ambayo ilishapokwa.
Jamani ni ngumu sana kuwa mbunge hasa ukitokea kambi ya upinzani hapa Tanzania tena ukiwa mwanamke!!
Wote wataitwa wabunge ila wengine wamefika kwa kupitia mazingira magumu sana kwa kweli.
Wanachakachua mno jamani duuu!
Halima Mdee wewe hunijui lakini nasema wewe ni IRON LADY unayejali wanzania woooote na Mungu akubariki sana.
Hivi bunge linawezekanaje bila Mdee?
Yeye ni Asset hata kwa sisi tusio na chama kabisa!
Well said, nilikuwa DSM kwa kweli amepambana. Pia ni mmoja wa wabunge muhimu sana kwa utetezi wa wanyonge hapa nchini.
 
Kipikipik tulikichinja jumapili afu leo matokeo yaje kashnda aise nani angeelewa hyo?

Hongera Halima kura zetu ndio ushindi wako na kushndwa kwake sio kura zetu kwake
 
Huna lolote gamba,kamwe huwezi takia mazuri mwana ukawa acha unafiki!Halima ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm

Hahaaa.., bora umempa za uso huyo gambaaaaaaaa!
Nampongeza Mh. Halima Mdee na wale wabunge wote waliofanikiwa kuwaangusha mawaziri mizigo wa ccm!
Kwa kifupi UKAWA wamevunja baraza la mawaziri la JK na amebakia yeye kukabidhi nchi kwa Lowassa!!

1. Esther Bulaya - kamtoa kwa knockout Steven Wassira
2. John Mnyika - kamtoa Fenela Mkandala
3. Samson Bilago - kamtoa Christopher Chiza
4. Paulina Gakui - kamtoa Chambiri
5. Dr. Godwin Mollel - kamtoa Aggrey Mwanri
6...........
 
Ila Mshaurini Basi Apunguze Kupenda Na Kutumia Kwake MSUBA Na Wale MASELA Wa Pale BASIHAYA. Sasa Masuala Ya USELA Nnya Aachane Nayo Na AJITAMBUE. Binafsi Bila KUPEPESA MACHO au KUTIKISA MASIKIO Japo Ni Mwana CCM KINDAKI NDAKI Na Tena NILIYETUKUKA Lakini From The Bottom Of My Heart NAMKUBALI Sana Dada Halima Mdee Na Ni Mfano Mzuri Wa Kuigwa Kwa Akina DADA ZETU Wengine.

Ulijuaje kama na wewe huwa hupigi pafu gubu la ndugu wa mume hilo.
 
Back
Top Bottom