Hongera sana Azam Media

Hongera sana Azam Media

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,609
Reaction score
7,169
Azam Tv kwa sasa ina operate kupitia satellite tv kwenye nchi 7 zifuatazo:
1.Tanzania
2.Kenya
3.Uganda
4.Zimbabwe
5.Rwanda
6.Malawi
7.Sierra Leone
Ila kwa kupitia Azam Max wanaiona dunia nzima.Hongera sana kwani wanaitangaza Tanzania vizuri sana
 
Jambo la ajabu vifurushi nchi za jirani azam wanaweka bei ndogo sana kuliko nchini.
 
Jambo la ajabu vifurushi nchi za jirani azam wanaweka bei ndogo sana kuliko nchini.
bei zinapangwa kulingana na nguvu ya sarafu ya nchi hiyo,sio kwamba ni rahisi kuliko huku.Lakini hata hapa kwetu bei sio ghali sana kwa kulingana na gharama za kuendesha tv.azam analipa gharama kubwa sana ili kuendesha shughuli zake,analipia tamthilia zote unazoziona,analipa kampuni za habari zote unazoziona mfano,cnn,bbc,al jazeera,analipa tamthiliya zote za ndani na za nje,gharama za kuendesha mitambo.ndugu acha kabisa kuendesha tv sio rahisi
 
Jambo la ajabu vifurushi nchi za jirani azam wanaweka bei ndogo sana kuliko nchini.
Azam kenya ni haiko yaaani unaona Zuku hapa Tanzania iko hadi vijijini basi Azam kenya kashindwa kutoboa kabisa.

Kule watu ni EPL na UEFA hana content za kuwavutia wakenya
 
Azam kenya ni haiko yaaani unaona Zuku hapa Tanzania iko hadi vijijini basi Azam kenya kashindwa kutoboa kabisa.

Kule watu ni EPL na UEFA hana content za kuwavutia wakenya
Kenya azam ipo labda na ndio ina haki ya kuonesha liginya kenya,huwezi kuiona liginya kenya bila kuwa azam hivyo watu wanainunua sana na tayari ina staffs wake wengi tu
 
Back
Top Bottom