Hongera Nape Nnauye!

Hongera Nape Nnauye!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Kama habari nilizonazo ni kweli,hongera sana Nape Nnauye. Kama umekubali kweli kwenda kwenye majadiliano/mdahalo uhusuo Rasimu ya Katiba mpya pale Serena Hotel,basi hongera sana. Nasema hivi kwakuwa naujua msimamo wa chama chenu.Msimamo wa kukimbia mara kwa mara midahalo/majadiliano ya moja kwa moja hasa wanapokuwepo wapinzani.

Jiandae vyema Nape Nnauye.Beba na vya kuweza kubeba ili ujenge hoja.Soma unavyoweza kusoma ili ukaonyeshe kinyume cha wananchi tunavyoamini kuwa nyinyi ni waoga wa midahalo kwakuwa hamjiamini na hamna 'kitu' cha maana kusema mbele ya watu.

Leo usikimbie tafadhali. Kila la kheri!
 
Last edited by a moderator:
Umenena mkuu.Hawa jamaa hawajiamini,huwa wanakimbia hata vivuli vyao
 
Nape huyu huyu Nnauye ataenda kwenye mdahalo, tena wa katiba mpya!!! Maana yeye amezoea siasa za majitaka, linapokuja suala la hoja, tena za kistaarabu sio uwanja wake. Kumbuka form four alipata F katika Maths, Civics na English so kujihami kwa matusi kawaida yake. Aliwahi kutamka siku moja Mwanza kuwa wanaomzomea wote atawashikisha ukuta....
 
Mkuu, Petro E. Mselemwa; Mdahalo huo utakuwa saa ngapi? na utarushwa live na tv gani?
 
Kama ni upinzani tumwekee sugu maana hana uwezo kujenga hoja na lisu, ataishia ukawa wanafadhiliwa na nchi za magharibi ushahidi tunao, te te te
 
mbona kazi anayo leo, kama kweli kakubali basi lazima aporomoshe matusi!!
 
NAPE kaanza kujiandaa humuhumu kaanzisha uzi wa wosia wa nyerere ili ajue hoja za wapinzani ili afanikishe kumtumia baba wa taifa kama hiriz
 
Kama habari nilizonazo ni kweli,hongera sana Nape Nnauye. Kama umekubali kweli kwenda kwenye majadiliano/mdahalo uhusuo Rasimu ya Katiba mpya pale Serena Hotel,basi hongera sana. Nasema hivi kwakuwa naujua msimamo wa chama chenu.Msimamo wa kukimbia mara kwa mara midahalo/majadiliano ya moja kwa moja hasa wanapokuwepo wapinzani.

Jiandae vyema Nape Nnauye.Beba na vya kuweza kubeba ili ujenge hoja.Soma unavyoweza kusoma ili ukaonyeshe kinyume cha wananchi tunavyoamini kuwa nyinyi ni waoga wa midahalo kwakuwa hamjiamini na hamna 'kitu' cha maana kusema mbele ya watu.

Leo usikimbie tafadhali. Kila la kheri!
Hahahaaaaaaaaaa,! Nape kachanja mbuga aisee tena mbio.hawezi kujenga hoja pale wao wamezoea mipasho na matusi tu basi.
 
Last edited by a moderator:
Kama habari nilizonazo ni kweli,hongera sana Nape Nnauye. Kama umekubali kweli kwenda kwenye majadiliano/mdahalo uhusuo Rasimu ya Katiba mpya pale Serena Hotel,basi hongera sana. Nasema hivi kwakuwa naujua msimamo wa chama chenu.Msimamo wa kukimbia mara kwa mara midahalo/majadiliano ya moja kwa moja hasa wanapokuwepo wapinzani.

Jiandae vyema Nape Nnauye.Beba na vya kuweza kubeba ili ujenge hoja.Soma unavyoweza kusoma ili ukaonyeshe kinyume cha wananchi tunavyoamini kuwa nyinyi ni waoga wa midahalo kwakuwa hamjiamini na hamna 'kitu' cha maana kusema mbele ya watu.

Leo usikimbie tafadhali. Kila la kheri!

hivi umesahau ccm ni hadithi naporojo? Kwa taarifa yako amekula kona
 
Last edited by a moderator:
Muda unakaribia kwa kasi sana.Mkuu THINKINGBEING upo?

Kwa kweli kajidharirisha sana na kaidharirisha CCM kwa kutohudhuria kwake!Ni aibu,Raisi aliwaambia vizuri tu kwamba,"Ziteeni hizo serikali mbili kwa hoja mkiwaeleza wananchi faida zake na hasara za serikali tatu ili wananchi wawaunge mkono!Sasa hii biashara ya kuogopa ogopa ni upuuzi!
 
Last edited by a moderator:
Kama habari nilizonazo ni kweli,hongera sana Nape Nnauye. Kama umekubali kweli kwenda kwenye majadiliano/mdahalo uhusuo Rasimu ya Katiba mpya pale Serena Hotel,basi hongera sana. Nasema hivi kwakuwa naujua msimamo wa chama chenu.Msimamo wa kukimbia mara kwa mara midahalo/majadiliano ya moja kwa moja hasa wanapokuwepo wapinzani.

Jiandae vyema Nape Nnauye.Beba na vya kuweza kubeba ili ujenge hoja.Soma unavyoweza kusoma ili ukaonyeshe kinyume cha wananchi tunavyoamini kuwa nyinyi ni waoga wa midahalo kwakuwa hamjiamini na hamna 'kitu' cha maana kusema mbele ya watu.

Leo usikimbie tafadhali. Kila la kheri!

kunguru mwoga kakimbiza bawa lake
 
Last edited by a moderator:
CCM zama hizi hawana vichwa vya kuweza kufanya midahalo na wakaeleweka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom