Hongera Mbunge wa Siha: Kazi yako unaijua vizuri!!

NKUU SINDE KWETU

JF-Expert Member
Jun 26, 2013
830
91
JF Salaam!
Siha wana bahati ya kumpata mbunge anayewajali, na ambae anajua wananchi wake wanahitaji nini.

Nimebahatika kufika maeneo/majimbo tofauti hapa Tanzania, lakini japokuwa Siha ni wilaya mpya wamejitahidi sana kuonyesha njia.

Huduma za afya ziko vizuri, barabara na huduma nyingine ziko vizuri! Hongereni viongozi wa Siha.

Kama Siha wameweza nini kinawashinda Rombo na Hai wilaya kongwe??? Tuchukue hatua tubadilike.

NKUU SINDE KWETU. Nduguyenu!
 
Mbunge wenu ndo anaitwa nani tena?kwasababu kama ni mwanri then wewe utakuwa umepewa buku 7 za kuja kuleta uzi huu,mimi namfahamu sana huyo jamaa hastahili hizi zifa kabisa,take it from me
 
JF Salaam!
Siha wana bahati ya kumpata mbunge anayewajali, na ambae anajua wananchi wake wanahitaji nini.

Nimebahatika kufika maeneo/majimbo tofauti hapa Tanzania, lakini japokuwa Siha ni wilaya mpya wamejitahidi sana kuonyesha njia.

Huduma za afya ziko vizuri, barabara na huduma nyingine ziko vizuri! Hongereni viongozi wa Siha.

Kama Siha wameweza nini kinawashinda Rombo na Hai wilaya kongwe??? Tuchukue hatua tubadilike.

NKUU SINDE KWETU. Nduguyenu!

Mheshimiwa Aggrey Mwanri kajitahidi sana sana! Lakini naona ametumia ofsi yake vizuri ya Tamisemi kujipendelea jimboni kwake! Barabara siha sio agenda tena,maji kule kwa wamasai tatizo la miaka nenda rudi lilisha isha! Hospital wako vizuri sana siha! Kwa sasa anahangaika na tatizo la umeme vijijini! Siha wamepiga hatua sana,binafsi nampongeza Mh Mwanri na wananchi wa siha kwa ushirikiano wao wa kuleta maendeleo!
 
Mbunge wenu ndo anaitwa nani tena?kwasababu kama ni mwanri then wewe utakuwa umepewa buku 7 za kuja kuleta uzi huu,mimi namfahamu sana huyo jamaa hastahili hizi zifa kabisa,take it from me

amefanya nini barabara nyembamba kama suruali ya model
 
Mbunge wenu ndo anaitwa nani tena?kwasababu kama ni mwanri then wewe utakuwa umepewa buku 7 za kuja kuleta uzi huu,mimi namfahamu sana huyo jamaa hastahili hizi zifa kabisa,take it from me

Mkuu mimi nimeleta mada ya jimbo la Siha na maendeleo yao, kama Mbunge wao ni Mwanri basi kazi yake ni nzuri sana..
 
Mheshimiwa Aggrey Mwanri kajitahidi sana sana! Lakini naona ametumia ofsi yake vizuri ya Tamisemi kujipendelea jimboni kwake! Barabara siha sio agenda tena,maji kule kwa wamasai tatizo la miaka nenda rudi lilisha isha! Hospital wako vizuri sana siha! Kwa sasa anahangaika na tatizo la umeme vijijini! Siha wamepiga hatua sana,binafsi nampongeza Mh Mwanri na wananchi wa siha kwa ushirikiano wao wa kuleta maendeleo!

Bora mkuu umenena!
Ila ofisi sio kigezo, Mh John Malecela amekuwa mpaka Waziri Mkuu, ila nenda kwao Mtera utashangaa.
Nadhani yeye ana mipango mizuri na jimbo lake.
 
JF Salaam!
Siha wana bahati ya kumpata mbunge anayewajali, na ambae anajua wananchi wake wanahitaji nini.

Nimebahatika kufika maeneo/majimbo tofauti hapa Tanzania, lakini japokuwa Siha ni wilaya mpya wamejitahidi sana kuonyesha njia.

Huduma za afya ziko vizuri, barabara na huduma nyingine ziko vizuri! Hongereni viongozi wa Siha.

Kama Siha wameweza nini kinawashinda Rombo na Hai wilaya kongwe??? Tuchukue hatua tubadilike.

NKUU SINDE KWETU. Nduguyenu!


That's IT? Barabara sidhani Imejengwa kuanzia 2010 alipochukua UBUNGE; Kwahiyo it was there same as it is... so PONGEZI ni za nini kwa Barabara???

Huduma zipi hizo za AFYA ziko VIZURI na ni kivipi???? na Unalinganisha na WILAYA zipi????

Sasa kweli HII WILAYA MPYA Tutajie VIPI VIPYA vinavyoifanya kila MTU achukue hatu TUBADILIKE... kuwa nini???

Haujataja CHOCHOTE cha kuonyesha ni WILAYA ya MFANO zaidi ya ROMBO na HAI!!!!

Umeona Watanzania tulivyo BORA kwa KUPONGEZA hata kama hakuna cha kusaidia....
 
Mwambie aache kumfuatafuata yule kijana anayeitwa Molel,kwa kifupi Mwanri anategemea kura za jamii ya kimasai na 2015 hatozipata kwani Molel anakuja kuchukua jimbo.
 
Nipewe jimbo la Hai miaka miwili tu then nimrudishie Mbowe, tatizo la mbowe maneno mengi na Ulevi wa madaraka ndio unaomsumbua ,,, Maendeleo kwanza , masilahi ya chama baadaye
 
hivi Mwandri amekuwa mbunge wa Siha kuanzia lini??? Hospitali ama barabara zipi mpya zimejengwa kipind chake? Na kujengwa huko yeye amechangia nin ama ni mipango iliyokuwepo kitambo?
 
Mimi nadhani tusimuongelee mtu (Mwanri) bali tujadili alichofanya Jimboni Siha.

Siha ina tofauti kubwa sana na Hai kwa upande wa huduma za kijamii.

Kipi ambacho hajakifanya Mbunge wa Siha??
 
Mbunge wenu ndo anaitwa nani tena?kwasababu kama ni mwanri then wewe utakuwa umepewa buku 7 za kuja kuleta uzi huu,mimi namfahamu sana huyo jamaa hastahili hizi zifa kabisa,take it from me

Huyu kesha lambishwa na Mbunge wao ni Mwanri .
 

That's IT? Barabara sidhani Imejengwa kuanzia 2010 alipochukua UBUNGE; Kwahiyo it was there same as it is... so PONGEZI ni za nini kwa Barabara???

Huduma zipi hizo za AFYA ziko VIZURI na ni kivipi???? na Unalinganisha na WILAYA zipi????

Sasa kweli HII WILAYA MPYA Tutajie VIPI VIPYA vinavyoifanya kila MTU achukue hatu TUBADILIKE... kuwa nini???

Haujataja CHOCHOTE cha kuonyesha ni WILAYA ya MFANO zaidi ya ROMBO na HAI!!!!

Umeona Watanzania tulivyo BORA kwa KUPONGEZA hata kama hakuna cha kusaidia....

Binafsi naona kama unalalamika, nini tatizo??

Ni kipi hakijafanyika katika Jimbo la Siha???

Moshi mjini, Ndesamburo kanunua tu Ambulance ya Mawenzi miaka 10 ya Ubunge wake!!! Kibaya zaidi haonekani Jimboni..

Tuwe na kipimo sahihi sio kuongea tu...
 
Mwambie aache kumfuatafuata yule kijana anayeitwa Molel,kwa kifupi Mwanri anategemea kura za jamii ya kimasai na 2015 hatozipata kwani Molel anakuja kuchukua jimbo.

Hiyo siyo kazi yangu!

Kazi yangu ni kuangalia maendeleo ya watu wa daraja la chini ndani ya majimbo ya Ubunge.

Check na katibu wa Mbunge, itakuwa rahisi!
 
Nipewe jimbo la Hai miaka miwili tu then nimrudishie Mbowe, tatizo la mbowe maneno mengi na Ulevi wa madaraka ndio unaomsumbua ,,, Maendeleo kwanza , masilahi ya chama baadaye
Hai karibia itakuwa jangwa, hivi nyinyi watu mna allergy na miti?
 
Nipewe jimbo la Hai miaka miwili tu then nimrudishie Mbowe, tatizo la mbowe maneno mengi na Ulevi wa madaraka ndio unaomsumbua ,,, Maendeleo kwanza , masilahi ya chama baadaye

Boma mjini na Kwasadala hawataki hata kumuona!!

Nahisi Jimbo litarudi kwa wenyewe...
 
Back
Top Bottom