Hongera Mbeya kwa kuwa na timu nyingi ligi kuu

Nakumbuka kiwanja ngoma pale soko Matola ,mmoja ya uwanja ulio zalisha wachezaji BORA ,ili kuwa ina pigwa ligi ya maana Sana pale hivi huu uwanja hadi leo upo?
Tumecheza sana pale ligi ya vijana, mara ya kwanza kuuona niliudharau kwa kudhani ata tukicheza dakika mia hakuna kuchoka

Kwa vile tulishazoea kukipiga uwanja wa ccm na teku ambavyo ni vikubwa, balaaa baada ya kuingia uwanjani uwanja kama una uchawi ata upige kwa nguvu vipi kwenda barabarani ni shughuli

Kwa kifupi upo lakini hautumiki tena kama zamani
 
Wanangu wa Mbeya hongera zenu kwa kuwa ma giants wa soka nchini just behind Dar

Nitoe pongezi kwa Timu za Mbeya City, Ihefu fc, Tanzania Prisons, Mbeya Kwanza na Ken Gold zinaonyesha umwamba wa soka Mkoa wa Mbeya.

Tuiunge mkono na timu ya Ken Gold inayocheza play off ili nayo ipande ligi kuu.

Lakini pia ifike mahala Tff, Serikali kushirikiana na wadau wa soka mkoani Mbeya Ili kujenga miundombinu ya kisasa ya michezo kama viwanja nk Ili kuhamasisha zaidi soka.

Sio kila mkoa una watu wenye vipaji vya michezo bali kule ambako watu wanaonesha juhudi basi waungwe mkono.

Mbeya mgonilee
Hao CCM wanao miliki viwanja karibu Nchi nzima na kujikusanyia mapato kibao wanashindwaje kuweka hata nyasibandia?
 
Hiv kwann tff waliamua kupunguza
Tim kutoka 18 mpaka 14 c Bora walau zingebak hata 16 maana 14 hiz wamefinya
Sana
Kweli mkuu timu 14 wanaumiza timu na baadhi ya mikoa,sio sawa timu 4 kushuka daraja..bora zibaki timu 16
 
Mbeya mpira unachezwa sana, ikifika jioni kila kiwanja kipo busy,na kuna kuwa na watazamani pia........hilo linasababisha vipaji kuwa vingi na kuonekana
Good observation mkuu ,watu wanapenda soka kweli kweli.

Siku hizi nimeona hadi mashindano ya magari motor Rally,tukileta na marathon mambo yatakuwa
 
nina mashaka sana na ihefu aisee,........ next season wakijitahidi sana watakua na timu 4 (prison, mbeya kwanza, city) hao ihefu na ken gold mmoja au wote hatabaki
Duuh mkuu unaongea kwa kutumia data zipi??
Ihefu katoka kumpa mtu kipigo, mbeya city nayo iko moto kujitoa huko chini, kudhihirisha hilo ilimpchapa jkt 6.

Next season ihefu, mbeyacity, prison, mbeya kwanza zote ndaniiii. Aisee natamani sana kule juu kupate wapinzani hao 3 kila msimu inachosha sana.
 
Tumecheza sana pale ligi ya vijana, mara ya kwanza kuuona niliudharau kwa kudhani ata tukicheza dakika mia hakuna kuchoka

Kwa vile tulishazoea kukipiga uwanja wa ccm na teku ambavyo ni vikubwa, balaaa baada ya kuingia uwanjani uwanja kama una uchawi ata upige kwa nguvu vipi kwenda barabarani ni shughuli

Kwa kifupi upo lakini hautumiki tena kama zamani

Ilikuwa ina pigwa ligi ya vijana yenye ushindani wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom