Hongera Mbeya kwa kuwa na timu nyingi ligi kuu

Opportunity Cost

JF-Expert Member
Dec 10, 2020
9,035
6,904
Wanangu wa Mbeya hongera zenu kwa kuwa ma giants wa soka nchini just behind Dar

Nitoe pongezi kwa Timu za Mbeya City, Ihefu fc, Tanzania Prisons, Mbeya Kwanza na Ken Gold zinaonyesha umwamba wa soka Mkoa wa Mbeya.

Tuiunge mkono na timu ya Ken Gold inayocheza play off ili nayo ipande ligi kuu.

Lakini pia ifike mahala Tff, Serikali kushirikiana na wadau wa soka mkoani Mbeya Ili kujenga miundombinu ya kisasa ya michezo kama viwanja nk Ili kuhamasisha zaidi soka.

Sio kila mkoa una watu wenye vipaji vya michezo bali kule ambako watu wanaonesha juhudi basi waungwe mkono.

Mbeya mgonilee
 
Mbeya kwa kwel wanahitaj uwanja wa kisasa
Kweli mkuu kwa sababu vipaji vya soka huku ni real sasa cha ajabu Tff wameenda kujenga viwanja kwa pesa za FIFA Singida,Tanga,Dom na Arusha.

Wangeanza na sehemu ambako watu wanaonesha vipaji na wako serious na soka sasa huko kwingine ni kama kupoteza rasilimali tuu
 
nina mashaka sana na ihefu aisee,........ next season wakijitahidi sana watakua na timu 4 (prison, mbeya kwanza, city) hao ihefu na ken gold mmoja au wote hatabaki
Ken Gold anacheza play off na Ihefu akimaliza wa 5 atacheza play off kwa hiyo zinaweza kubaki ligi kuu na nyingine kupanda ligi kuu shida ni kama zitakutana
 
Mbeya
MSIMAMO_%20%20Sasa%20ni%20rasmi%20%E2%80%98Top%20Three%E2%80%99%20-%20Top3%20wa%20msimu%20huu%...jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom