Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,349
- 26,498
Economic Partnership Agreement~EPA, ni mkataba uliopigiwa upatu saana na nchi za Ulaya.
Ati "Partneship Agreement" hii lengo lake ni kuondoa kodi na vikwazo vyote vya bidhaa za viwanda kibiashara kati ya Afrika Mashariki na nchi za Ulaya.
Msingi wake tu ni kutimiza masharti ya ubora na umadhubuti wa bidhaa.
Mtu yeyote angeweza kuona mtego ambao nchi za EAC zingeingia wangekubaliana na mkataba huo.
Wazungu wangesema kwa urahisi,sukari, bia,mfuta ya kupikia au nguo zetu hazina ubora na viwango kuingia ulaya.
Wakati huo huo siye tungejaziwa hapa cheap european products hivyo kujigeuza kuwa soko lisilo na kodi kwa nchi za ulaya.
Wakati mwingine nakereka kufikiri, huwa hawa wazungu wanatuonabsisi ni wajinga kihivyo?
Hivyo nawapongeza marais John Pombe Joseph Mgufuli na Kaguta Museveni kwa kuwapa za uso wazungu hawa.
Ati "Partneship Agreement" hii lengo lake ni kuondoa kodi na vikwazo vyote vya bidhaa za viwanda kibiashara kati ya Afrika Mashariki na nchi za Ulaya.
Msingi wake tu ni kutimiza masharti ya ubora na umadhubuti wa bidhaa.
Mtu yeyote angeweza kuona mtego ambao nchi za EAC zingeingia wangekubaliana na mkataba huo.
Wazungu wangesema kwa urahisi,sukari, bia,mfuta ya kupikia au nguo zetu hazina ubora na viwango kuingia ulaya.
Wakati huo huo siye tungejaziwa hapa cheap european products hivyo kujigeuza kuwa soko lisilo na kodi kwa nchi za ulaya.
Wakati mwingine nakereka kufikiri, huwa hawa wazungu wanatuonabsisi ni wajinga kihivyo?
Hivyo nawapongeza marais John Pombe Joseph Mgufuli na Kaguta Museveni kwa kuwapa za uso wazungu hawa.