Watu malofa kabisa.
Spid ya lowasa ile ilikuwa kampeni zake akiwa madarakani ili kujipalilia 2015, lowasa si mtu safi ni uzao Wa panya ni walewale magamba na. Majambazi
Huwezi mtofautisha lowasa na kikwete ni kitu kimoja, tutegemee madudu zaid ya haya ya kikwete kama tutampa nchi lowasa
Huo utendaji wanaosema lowasa anao ni upi? Kwani kikwete hakuwa nao? Waliingia madarakani wote wakiwa na spid na mwisho ziliishia ukingoni na. Wengine uwaziri mkuu hata mwaka hawakumaliza.
Kikwete alianza na mbwembwe mara ghafla kavamia kariakoo, katoa pesa mfukoni nakuwapa watu, leo yupo wapi ndie rais mbovu kabisa afrika hata wa somalia ni imara, rais dhaifu, anaefuraia kushinda kwenye mahoteli marekani, wakati nchi yake haiwezi hata kuzalisha spoke za baiskel.
Utamtifautishaje sasa kikwete na lowasa wakati hawa ni boys two men? Hawakukutana sokoni, nazani tofaut yao kubwa tu ni Kuwa lowasa amekaa mda mfup madarakani kama waziri mkuu kikwete kakaa miaka 10
Otherwise tukifanya makosa kumpa Lowasa nyumba hii, Tanzania, nikumpa fisi mbuzi awapeleke machungani