Ranks
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,583
- 1,098
Arusha sasa itatulia.sana labda.mpaka wakati wa uchaguzi tena.maana chadema wamepata haki yao ya kuongoza ... Issue iliyobakia ni ya umeya ambayo nafikiri chadema wameweza kupata njia mbadala za kudeal naye
Ushindi wa 4-0 umeiweka Arusha sawa,'magamba yamenywea' na uchaguzi wa kata ya Sombetini wanauogopa kwani wanajua hawana chao pale ndiko waasisi wa mageuzi katika jiji la Ars.Jana walikuwa na mkutano waliouandaa wiki nzima kwa wakazi wote wa Arusha lakini mahudhurio ilikuwa aibu hawakuzidi watu 15,ilibidi mkutano ufupishwe ufanyike kwa nusu saa tu."wanatia huruma" sijui 2015 watakuwaje!!!