Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Salaam Wana jamvi, leo ni siku kuu ya wafanyakazi wote duniani. Ni siku ambayo wafanyakazi wakada mbalimbali hukutana pamoja na kupongezana kwa kazi nzuri wanazo fanya ili kuhakikisha maisha ya watu yanasonga.
Tofauti na miaka yote wafanyakazi wetu hawatafanya sherehe kutokana na tishio la ugonjwa wa Covid 19 kushika kasi. Kipekee napenda kuwapongeza wafanyakazi wote Kwa kazi nzuri wanazofanya.
Pia napenda kuwapongeza na kuwashukuru wafanyakazi wa afya wote kwa kazi nzuri na ngumu wanayofanya kupambana na Covid 19.
MWISHO nasema HONGERA kwa wafanyakazi wote Mungu awabariki.
Tofauti na miaka yote wafanyakazi wetu hawatafanya sherehe kutokana na tishio la ugonjwa wa Covid 19 kushika kasi. Kipekee napenda kuwapongeza wafanyakazi wote Kwa kazi nzuri wanazofanya.
Pia napenda kuwapongeza na kuwashukuru wafanyakazi wa afya wote kwa kazi nzuri na ngumu wanayofanya kupambana na Covid 19.
MWISHO nasema HONGERA kwa wafanyakazi wote Mungu awabariki.