Ktk hali ya kudhibiti ujangiri wa meno ya tembo na faru, Rais Uhuru Kenyatta ameamua kulinda hifadhi za nchini kenya kwa kutumia ndege zisizotumia rubani.Je kwetu sisi tanzania tunaweza kuwa na dhamira ya kweli?
Wasiwasi wangu ni kama jk anaweza ku introduce hii aina ya ulinzi kwani alishasema kuwa wahusika wa ujangili anawafahamu! Sasa atauwa watu anao wafahamu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.