hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
Mama Mhaville alipoambiwa aongee neno alisema."iNATAKIWA HAWA WAANDAAJI WATUONYESHE HUYO MSHINDI KAFANYA KAZI GANI, WATUONYESHE HAPA NDO TURIDHIKE.." sijui kama ni comment ya kawaida au vp!
Mama Mhaville alipoambiwa aongee nenoalisema."iNATAKIWA HAWA WAANDAAJI WATUONYESHE HUYO MSHINDI KAFANYA KAZI GANI, WATUONYESHE HAPA NDO TURIDHIKE.." sijui kama ni comment ya kawaida au vp!
Hapana mkuu, pamoja na kwamba namkubali muro kv kazi zake zinaonekana lakini na mama nae ana pointi!!!Ningemlaumu maradufu endapo hoja yake asingeitowa pale mshindi asingekuwa muro, i guess it was just a coincidence!!!! BRAVO KAKA JERRY MURO
Hapana mkuu, pamoja na kwamba namkubali muro kv kazi zake zinaonekana lakini na mama nae ana pointi!!!Ningemlaumu maradufu endapo hoja yake asingeitowa pale mshindi asingekuwa muro, i guess it was just a coincidence!!!! BRAVO KAKA JERRY MURO
hongera mwanahanari Jerry Muro kwa kutwaa mataji matatu, mojawapo la mwanahabari bora wa mwaka. hakika unastahili na ninaithamini sana kazi yako, kaza buti uendelee kung'ara.
Mama Mhaville alipoambiwa aongee neno alisema."iNATAKIWA HAWA WAANDAAJI WATUONYESHE HUYO MSHINDI KAFANYA KAZI GANI, WATUONYESHE HAPA NDO TURIDHIKE.." sijui kama ni comment ya kawaida au vp!
Congrats Muro,keep it up.
Ni tuzo gani nyingine ameshinda?
Mchakato wa kumpata mshindi ulikuaje?
Waandaaji wa tuzo ni nani?
Binafsi kazi za kijana Muro nazikubali.