Hongera idriss Wema anakusubiri ss
Atakutana na kina Lulu wapo ready...lol
vp Masogange hajakucheck hapo mapokezi!
Majanga!
Hongera idriss Wema anakusubiri ss
Atakutana na kina Lulu wapo ready...lol
vp Masogange hajakucheck hapo mapokezi!
sanaaa
hapo kama itakua hivyo duuuuh hatarii
Unamkumbuka Mwisho?
sanaa alikombwa kila kitu akabakiziwa misokoto ya bhange
kwani mwisho alishinda hela?Unamkumbuka Mwisho?
kwani mwisho alishinda hela?
Ushindi wa vijana wa kibongo mara idris jana diamond ni kielelezo kuwa watanzania tumejaliwa sana vipaji ila hatuvitunii Ipasavyo come on let's work up
Hivi anayeshinda BBA anakuwa na vipaji gani ! Au kuwa wazi hili shindano ni nini,
Swali kubwa lililonijia mimi ilikuwa ni why tanzania again? Je ni bahati tu au vijana wetu wanaonesha vitu vya ziada.................
But in short ninavyojua mimi kuishi na watu yenyewe tayari inahitaji ujuzi na maarifa fulani.
Sasa inapokuja suala la BBA mshiriki anatakiwa azingatie masharti ya shindano, aishi vizuri na wenzake wa jinsia tofauti, atimize needs na expectations za housemates bila kuvunja masharti na mwisho atimize the needs and expectations za mashabiki kutoka kila pande ya dunia ili apate kura. hii siyo kazi rahisi ndo mahali kipaji kinatakiwa ili uoneshe tofauti