Baada ya kundoka Mzee Masako nilijiuliza ni nani atavaa viatu vyake katika kipindi cha Kipimajoto.
Lakini kwa muda mfupi ambao umeendesha kipindi hiki umekitendea haki kwa 100% na umekiendesha kwa umahiri mkubwa hasa kwa vipindi viwili vilivyopita kuhudu Fao la kujitoa na Maafa ya Kagera.
Nakupongeza sana HONGERA