Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Baada ya kundoka Mzee Masako nilijiuliza ni nani atavaa viatu vyake katika kipindi cha Kipimajoto.
Lakini kwa muda mfupi ambao umeendesha kipindi hiki umekitendea haki kwa 100% na umekiendesha kwa umahiri mkubwa hasa kwa vipindi viwili vilivyopita kuhudu Fao la kujitoa na Maafa ya Kagera.
Nakupongeza sana HONGERA
Lakini kwa muda mfupi ambao umeendesha kipindi hiki umekitendea haki kwa 100% na umekiendesha kwa umahiri mkubwa hasa kwa vipindi viwili vilivyopita kuhudu Fao la kujitoa na Maafa ya Kagera.
Nakupongeza sana HONGERA