Mkuu , kwanza nikupongeze kwa kutambua kwamba CDM ndiyo iliyoleta HUU MCHAKATO WA KATIBA , na ningependa pia kukuhakikishia kwamba haya mapungufu ya hapa na pale na hasa kuhusu MUUNDO WA TUME HURU YA UCHAGUZI ,tutayashughulikia kwa umakini mno ,bila shaka unafahamu kwamba bila ile tume mbovu ya akina KIRAVU , Peter Serukamba au Makongoro Mahanga wasingekuwa bungeni leo hii na wala lile TUSI zito la Serukamba lisingeingia kwenye HANSARD .