Hongera CCM, tumeshinda tena!

Ndo raha ya kuongoz wajinga,juzi makamba kamiga kijembe mtuli wa CUF leo anaenda eti kuwasalimia wahanag..sanifu tupu
Dawa ya wanafiki kama hawa ni manati tu. Mimi niliitafuta nikaipata.
 
Mkuu hata kama umeziandika zote hizo kwa saa moja tatizo lipo wapi ? Yeye amezuiliwa na nani kutafuta kibarua cha kuanzisha uzi hapa JF?
Kwani kuanzisha uzi nacho ni kibarua? Sikulijua hilo.
 
Hapo kwenye "UJINGA na UPUMBAVU" ungeandika "ULOFA na UPUMBAVU"

Pole hayo ni mawazo yangu ,mawazo yako uandike ulichokiandika.Heshimu mawazo ya wenzako hata kama yanakuudhi
 
Lowassa hajambo?
 
Kuongoza nchi ya "majuha" kama Tanzania ni rahisi sana. Asubuhi baba anatoa amri, mchana mama anaikanusha, jioni mtoto anawapooza na maneno kisha mnashangilia kwa nderemo na vifijo.
 
Nenda pole pole kijana. Kwanza, hizo si nyuzi za siku moja. Pili, uzi wa 3 na 4 sikuanzisha mimi. Acha ushabiki kijana. Jibu au changia hoja.

Mzee Tupatupa

Vijana wamerahisishiwa maisha unaweza kubapa 1.GB kwa 1500 wiki nzima. Tuwaelekeze wale walio wasikikivu na wakaidi huenda wanaelewa zaidi yetu.
 
Ni wa sababu tu nchi hii ina wajinga wengi
Yaani hili tatizo la ujinga ndio silaha kubwa ya watawala na chakutisha zaidi hata hao waonaitwa wasomi hawaoneshi tofauti yoyote na wasiosoma sijui nchi inaelekea wapi!
 
Nilifarijika wanamtandao walipoandika kuwa Samata ni raia wa Congo... hakika hii si sehemu salama ya kuishi kabisa.
 
Maneno yako Tupatupa yanaashiria we ni mwanaCCM yule mtiifu wa kipindi kile cha misingi ya umoja na mshikamano wa kichama hasa katika miiko na menendo sahihi ya chama kuwatumikia wananchi ila acha mafumo we pwayuka tu watakuelewa wanachama wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…