Hong Nkong wanataka nini, Watanzania wanataka nin?

Hong Nkong wanataka nini, Watanzania wanataka nin?

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Mji wa Hong Nkong,nadhani kila mtu ambaye amesoma au anafuatilia dunia anaujua sana,ingawa wengine wanaweza wakawa wamefika au wengine hawajafika ila wanasoma kwenye mitandao na vyombo vya habari

Hong Nkong ni mji uliostawi kiuchumi zaidi,yaani kama ni miundo mbinu ya kila aina ,reli za kisasa,flyovers, barabara,majengo ya kisasa,minara mirefu duniani,utalii,Viwanda vya kila aina nk

Lakini jiulize pamoja na hayo yote,nchi hiyo inakabiliwa na machafuko,waandamanaji wapo barabarani wakitaka Uhuru

Uhuru,Uhuru,Uhuru,uhuru,hawataki wawe chini ya China,bora wawe chini ya Uingereza kuliko kuwa china

Wanajua fika kuwa wakiwa upande wa China ,hawatakuwa huru,watanyanyaswa na China,nchi ya China haitaki Demokrasia

Wahonkong wanataka Demokrasia,wanataka wawe huru,hawataki kuwa na tawala ambazo zinabana Uhuru wao na Demokrasia

Tunaposema Uhuru wa kujieleza ni kitu muhimu kuliko SGR na Bombardier muwe mnaelewa

Hakuna kitu kibaya kwa binadamu kama kumnyima Uhuru au demokrasia, unaweza ukampa kila kitu lakini usipompa uhuru wa kuamua mambo yake,hayo yote ni zero

Wapambe wa jiwe na jiwe wanapokosolewa kuhusu kuwanyima uhuru wananchi,wenyewe huja na majibu mepesi sana,SGR,flyovers,umeme selous,,bombardier, na kumpongeza Jiwe

Viongozi jifunzeni ya Hong Nkong,binadamu anataka nini zaidi?
 
Mji wa Hong Nkong,nadhani kila mtu ambaye amesoma au anafuatilia dunia anaujua sana,ingawa wengine wanaweza wakawa wamefika au wengine hawajafika ila wanasoma kwenye mitandao na vyombo vya habari

Hong Nkong ni mji uliostawi kiuchumi zaidi,yaani kama ni miundo mbinu ya kila aina ,reli za kisasa,flyovers, barabara,majengo ya kisasa,minara mirefu duniani,utalii,Viwanda vya kila aina nk

Lakini jiulize pamoja na hayo yote,nchi hiyo inakabiliwa na machafuko,waandamanaji wapo barabarani wakitaka Uhuru

Uhuru,Uhuru,Uhuru,uhuru,hawataki wawe chini ya China,bora wawe chini ya Uingereza kuliko kuwa china

Wanajua fika kuwa wakiwa upande wa China ,hawatakuwa huru,watanyanyaswa na China,nchi ya China haitaki Demokrasia

Wahonkong wanataka Demokrasia,wanataka wawe huru,hawataki kuwa na tawala ambazo zinabana Uhuru wao na Demokrasia

Tunaposema Uhuru wa kujieleza ni kitu muhimu kuliko SGR na Bombardier muwe mnaelewa

Hakuna kitu kibaya kwa binadamu kama kumnyima Uhuru au demokrasia, unaweza ukampa kila kitu lakini usipompa uhuru wa kuamua mambo yake,hayo yote ni zero

Wapambe wa jiwe na jiwe wanapokosolewa kuhusu kuwanyima uhuru wananchi,wenyewe huja na majibu mepesi sana,SGR,flyovers,umeme selous,,bombardier, na kumpongeza Jiwe

Viongozi jifunzeni ya Hong Nkong,binadamu anataka nini zaidi?
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
Ndo maana nasema Hong Nkong hawana kila kitu? Kwa nini waandamane,wanataka nini?
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
Pumbavu sana, akili zako zinashabiiana za na za mbuzi.
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
"kukalili" ndo vitu gani??
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
Kinachosikitisha ni kuwa akili mfu kama zako wanazo wengi humu nchini;kifupi ni kuwa hujielewi bado
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
Yaani akili zenu nyie wa kusifu zinashsngaza sana, unataka kutuaminisha kuwa ili tuendelee ni lazima tusiwe huru, basi tuwarudishe wakoloni! Achana na ujinga hong Kong haiko ulaya wala sio taifa la magharibi elewa pia watu huru huamua maendeleo kwao ni nini! Hawapangiwi na DIKTETA!
 
  • Thanks
Reactions: prs
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!

unatumia makalio kufikiri
 
Mji wa Hong Nkong,nadhani kila mtu ambaye amesoma au anafuatilia dunia anaujua sana,ingawa wengine wanaweza wakawa wamefika au wengine hawajafika ila wanasoma kwenye mitandao na vyombo vya habari

Hong Nkong ni mji uliostawi kiuchumi zaidi,yaani kama ni miundo mbinu ya kila aina ,reli za kisasa,flyovers, barabara,majengo ya kisasa,minara mirefu duniani,utalii,Viwanda vya kila aina nk

Lakini jiulize pamoja na hayo yote,nchi hiyo inakabiliwa na machafuko,waandamanaji wapo barabarani wakitaka Uhuru

Uhuru,Uhuru,Uhuru,uhuru,hawataki wawe chini ya China,bora wawe chini ya Uingereza kuliko kuwa china

Wanajua fika kuwa wakiwa upande wa China ,hawatakuwa huru,watanyanyaswa na China,nchi ya China haitaki Demokrasia

Wahonkong wanataka Demokrasia,wanataka wawe huru,hawataki kuwa na tawala ambazo zinabana Uhuru wao na Demokrasia

Tunaposema Uhuru wa kujieleza ni kitu muhimu kuliko SGR na Bombardier muwe mnaelewa

Hakuna kitu kibaya kwa binadamu kama kumnyima Uhuru au demokrasia, unaweza ukampa kila kitu lakini usipompa uhuru wa kuamua mambo yake,hayo yote ni zero

Wapambe wa jiwe na jiwe wanapokosolewa kuhusu kuwanyima uhuru wananchi,wenyewe huja na majibu mepesi sana,SGR,flyovers,umeme selous,,bombardier, na kumpongeza Jiwe

Viongozi jifunzeni ya Hong Nkong,binadamu anataka nini zaidi?
Hii ni tafakuri nzuri.

Pia, nadhani umewahi kukutana na hoja kuwa ngoja tujenge na kuboresha miundo mbinu halafu demokrasia itafuata baadae.

Mimi sio muumini wa awamu hii ya tano lakini ukifuatilia nchi zilizoendelea, wakati zikijijenga nyingi zilikua na mfumo wa kiimla.
 
Hii ni tafakuri nzuri.

Pia, nadhani umewahi kukutana na hoja kuwa ngoja tujenge na kuboresha miundo mbinu halafu demokrasia itafuata baadae.

Mimi sio muumini wa awamu hii ya tano lakini ukifuatilia nchi zilizoendelea, wakati zikijijenga nyingi zilikua na mfumo wa kiimla.
Nchi za Scandinavian zimeendelea zaidi,sidhani kama utawala wa kiimla umewahi kutumika kwenye nchi hizo
 
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!

Kwa hiyo serekali yetu itapendwa kwa kuminya uhuru wa kujieleza? Je uhuru wa mtu kumchagua amtakaye unazuia vipi maendeleo? Je wananchi wanataka kutawaliwa bila ridhaa yao ili maendeleo yapatikane? Kwanza ni maendeleo yapi hayo ya kuzuia watu kuongea?
 
Kuna wazanzibar humu wanawashangaa Hong kong, uoga ni dhambi.
 
Kwahyo mkuu , kina Nyerere walikuwa wapumbavu kudai uhuru.???
Uhuruuuuu! Uhuruuui! Uhuru utakuletea chakula mezani? Uhuru utamwezesha mkulima wa mpanda kufikiwa kwa urahisi na wateja wakanunua mazao yake? Uhuru utawezesha watoto wa masikini waliokuwa wanashindwa kusoma kwasababu ya ada na michango? Uhuru utaondoa kero akina mama kujifungulia majumbani kwa kukosa vituo vya afya? Uhuru utamwezesha mkazi wa Dar kutumia Masaa 6 kutoka mbezi kwenda posta? Uhuru ndo utatupa umeme wa uhakika wa bonde la nyerere? ACHA KUKALILI LEVEL YA NCHI ZA MAGHARIBI NA AFRIKA.
Nchi za magharibi zilikiuka haki za binadamu katika viwango vya juu vya uharifu (utumwa) wakajenga nchi zao alafu sisi wanatuzuia kwa Sera za Uhuru wa habari na kujieleza ili wapenyeze chuki na hisia za kuleta machafuko na kufanya wananchi waichukie serikali yao. Mwenye ufahamu anaelewa!
 
Back
Top Bottom