cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,386
Mji wa Hong Nkong,nadhani kila mtu ambaye amesoma au anafuatilia dunia anaujua sana,ingawa wengine wanaweza wakawa wamefika au wengine hawajafika ila wanasoma kwenye mitandao na vyombo vya habari
Hong Nkong ni mji uliostawi kiuchumi zaidi,yaani kama ni miundo mbinu ya kila aina ,reli za kisasa,flyovers, barabara,majengo ya kisasa,minara mirefu duniani,utalii,Viwanda vya kila aina nk
Lakini jiulize pamoja na hayo yote,nchi hiyo inakabiliwa na machafuko,waandamanaji wapo barabarani wakitaka Uhuru
Uhuru,Uhuru,Uhuru,uhuru,hawataki wawe chini ya China,bora wawe chini ya Uingereza kuliko kuwa china
Wanajua fika kuwa wakiwa upande wa China ,hawatakuwa huru,watanyanyaswa na China,nchi ya China haitaki Demokrasia
Wahonkong wanataka Demokrasia,wanataka wawe huru,hawataki kuwa na tawala ambazo zinabana Uhuru wao na Demokrasia
Tunaposema Uhuru wa kujieleza ni kitu muhimu kuliko SGR na Bombardier muwe mnaelewa
Hakuna kitu kibaya kwa binadamu kama kumnyima Uhuru au demokrasia, unaweza ukampa kila kitu lakini usipompa uhuru wa kuamua mambo yake,hayo yote ni zero
Wapambe wa jiwe na jiwe wanapokosolewa kuhusu kuwanyima uhuru wananchi,wenyewe huja na majibu mepesi sana,SGR,flyovers,umeme selous,,bombardier, na kumpongeza Jiwe
Viongozi jifunzeni ya Hong Nkong,binadamu anataka nini zaidi?
Hong Nkong ni mji uliostawi kiuchumi zaidi,yaani kama ni miundo mbinu ya kila aina ,reli za kisasa,flyovers, barabara,majengo ya kisasa,minara mirefu duniani,utalii,Viwanda vya kila aina nk
Lakini jiulize pamoja na hayo yote,nchi hiyo inakabiliwa na machafuko,waandamanaji wapo barabarani wakitaka Uhuru
Uhuru,Uhuru,Uhuru,uhuru,hawataki wawe chini ya China,bora wawe chini ya Uingereza kuliko kuwa china
Wanajua fika kuwa wakiwa upande wa China ,hawatakuwa huru,watanyanyaswa na China,nchi ya China haitaki Demokrasia
Wahonkong wanataka Demokrasia,wanataka wawe huru,hawataki kuwa na tawala ambazo zinabana Uhuru wao na Demokrasia
Tunaposema Uhuru wa kujieleza ni kitu muhimu kuliko SGR na Bombardier muwe mnaelewa
Hakuna kitu kibaya kwa binadamu kama kumnyima Uhuru au demokrasia, unaweza ukampa kila kitu lakini usipompa uhuru wa kuamua mambo yake,hayo yote ni zero
Wapambe wa jiwe na jiwe wanapokosolewa kuhusu kuwanyima uhuru wananchi,wenyewe huja na majibu mepesi sana,SGR,flyovers,umeme selous,,bombardier, na kumpongeza Jiwe
Viongozi jifunzeni ya Hong Nkong,binadamu anataka nini zaidi?