Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,245
- 2,128
Habari zenu naomba kuuliza kama tayari tumeshapima makinikia kabla ya ndoa sasa honeymoon ina umuhimu gani.
Hujawahi kusema unaniua weweHayina muhim sana. Watu wamekrem tu! Kama vile wanawake walivyo krem neno 'unaniua' wakati wakufanya mapenzi kumbe hili neno lilikua linatumika na ma bibi zetu maana walikua wakiolewa wakiwa bikira Kwahiyo akisema unaniua anamanisha kweli kweli kwajili ya maumivu. Sasa hiki kizazi chetu kashabajuliwa anasema unaniua ni aibu! Yani honeymoon kuleta uhalisia wake muwe hamjawahi kujamiana.
