Honestly, wanawake WEUSI hamtamanishi kitandani

Honestly, wanawake WEUSI hamtamanishi kitandani

Hujakutana na weupe wewe inaonekana hii league ww ni mgen, afu nimesema kutamanisha soma mada vzr
Mahali nilipo nimezungukwa na weupe. Ila sijawahi kuwatamani. Ila nikiona black beaty huwa sipotezi point hata siku moja.

Mkuu, wewe ni wa kanda pendwa ? Maana huko mnapenda kweli ngozi nyeupe utafikiri almasi.
 
Tunatofautiana mkuu, usiseme hawatamanishi, sema wewe hawakutamanishi, mimi huwa sichagui japo napendelea zaidi weupe, nisharuka na weusi kadhaa na kuna mmoja niliweka makazi kabisa.

Ila kuna jamaa yangu yeye na magoma meusi humwambii kitu, yaani yeye kwake goma jeupe anasema halimshitui hata kidogo, yeye ni full magoma meusi, kuna kipindi kwao walimtafutia mke mweupe mpaka nilimuonea huruma
 
Back
Top Bottom