mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Asante mkuuyapo maduka kadhaa ya spears, hususan zile spears muhimu kama break pads, bushes nk. mtaa wa swahili pale karibu na junction ya fire kuna parts nyingi za honda. msimbazi karibu na Diamond trust bank branch kuna duka la spears. libya street karibu na oilcom kuna duka la spears. ilala karibu na karume kuna duka la spears. lkn kikubwa, honda haziharibi mara nyingi kama toyotas so hata utafutaji wa spears hauwi umiza kichwa au shughuli ya mara kwa mara kama ya wamiliki wa toyota. nadhani pia nahisi ndio maana wamiliki wa toyota wanaogopa aina nyingine ya magari, wakiamini na kujua kuwa kila gari inatembelea 'gereji' kama toyotaz zifanyavyo
Nimekusoma uzuuuuuriiiii