Honda Odyssey inauzwa

Honda Odyssey inauzwa

Hiyo gari hata mimi kuna jamaa yangu anayo,ni balaa ni kali sana ukiendesha unaweza hisi uko ndani ya ndege,at 120kph inatulia sana,its almost just like driving 550SL Mercedes Benz,mwenye hela ajitose.

Asante sana bosi kwa kufunguka. Mimi nilishaipiga 220km! si mchezo kabisa! basi tu barabara zetu ni nyembamba na kona ni nyingi sana. Ila ukitaka kufurahia exceptional driving experience, this is among the best cars for that! Ndio maana nasema ukishaanza kuyaendesha haya magari, unaweza kuwa kichaa! ni mazuri sana! hata kama mnunuzi hatonunua hii ya kwangu, basi namwalika ajiagizie kokote duniani awezapo. Ni vizuri kuwaeleza na wengine kizuri unachokifurahia, especially kwa vitu kama hivi.
 
Nikupe toyota gaia then nikuongeze different
 
Nikupe toyota gaia then nikuongeze different

Mkuu kumradhi lkn ila mimi na toyota hatuishi chungu kimoja asilani. Ukishaendrsha Honda huwezi kufurahia Toyota kabisa. Labda iuze hiyo gaia uongeze hela kidogo. Kumradhi kama ntakuwa nikuudhi lakini!
 
Nime-upload picha zaidi za hii great car!
 

Attachments

  • 40.jpg
    40.jpg
    334 KB · Views: 91
  • 45.jpg
    45.jpg
    255 KB · Views: 117
  • 46.jpg
    46.jpg
    515.3 KB · Views: 97
  • 49.jpg
    49.jpg
    452.2 KB · Views: 86
  • 44.jpg
    44.jpg
    278.8 KB · Views: 80
Yangu ni Honda Accord huwa naiita Beautiful Monster for a reason. Napenda revs zake, powerful machine.

Nadhani Honda owners tuna wajibu wa kuwaelimisha Toyota owners na wengine what they r missing in Hondas. Inasikitisha watu wanarundikana kwenye Toyota ambazo kwa kweli hazina mashiko kabisa.... Kizuri kula na mwenzio....
 
Nazipenda sana Honda lakini tatizo ni spare tu hawana tofauti na Nissan yaani spare haziingiliani kama za Toyota
 
Nazipenda sana Honda lakini tatizo ni spare tu hawana tofauti na Nissan yaani spare haziingiliani kama za Toyota

yes Oraba uko sahihi. Ila uzuri wa spare za Honda ukishaziweka umesahau hilo tatizo. Toyota bwana kila baada ya miezi miwili ile spare unaweka nyingine. mpaka spea zinakuwa sehemu ya gharama za gari, kama mafuta! sizipendi Toyota kwa sababu hiyo. Lazima uwe na urafiki wa karibu na mafundi wa gari!
 
Mkuu sasa naamini kwa kushusha bei utauuza huu mchuma! Kwa 15M lazima kuna mtu atafika bei...ndio maana nilikushauri uiuze kwa 15M
 
Nadhani Honda owners tuna wajibu wa kuwaelimisha Toyota owners na wengine what they r missing in Hondas. Inasikitisha watu wanarundikana kwenye Toyota ambazo kwa kweli hazina mashiko kabisa.... Kizuri kula na mwenzio....

Mkuu kibiashara inaelekea tunakosa vingieee??? ila nadhani kubwa ni upatikanaji wa spare hapa kwetu bongo
wewe unazipata wapi? naomba usinijibu kibiashara zaidi nipe ukweli
 
Mkuu kibiashara inaelekea tunakosa vingieee??? ila nadhani kubwa ni upatikanaji wa spare hapa kwetu bongo
wewe unazipata wapi? naomba usinijibu kibiashara zaidi nipe ukweli


yapo maduka kadhaa ya spears, hususan zile spears muhimu kama break pads, bushes nk. mtaa wa swahili pale karibu na junction ya fire kuna parts nyingi za honda. msimbazi karibu na Diamond trust bank branch kuna duka la spears. libya street karibu na oilcom kuna duka la spears. ilala karibu na karume kuna duka la spears. lkn kikubwa, honda haziharibi mara nyingi kama toyotas so hata utafutaji wa spears hauwi umiza kichwa au shughuli ya mara kwa mara kama ya wamiliki wa toyota. nadhani pia nahisi ndio maana wamiliki wa toyota wanaogopa aina nyingine ya magari, wakiamini na kujua kuwa kila gari inatembelea 'gereji' kama toyotaz zifanyavyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom