Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
utaweza kuchuchumaa unye ndani ya gari?
Kwa amri ya Mwakyembe, tutalazimika kufanya hivyo!! Mbona HOSPITALINI tunalazimika kuchuchumaa kwenye bedpan. Tunamuomba Mwakyembe awaagize wenye mabasi kununua bedpan za kuchimbia dawa na wasafiri wa mabasi yao