ALIFANYAJE?(KWA FAIDA YA AMBAO HAWAKUONA KWENYE tv)Jamani hii haipingiki hata kidogo kwa nliojionea jana, this man ni moto wa kuotea mbali!!! Au nyie wadau mnaona imekaaje hii??? Naomba kutoa hoja
hamna kitu hapa subiri ukapokee posho yako
Jamani hii haipingiki hata kidogo kwa nliojionea jana, this man ni moto wa kuotea mbali!!! Au nyie wadau mnaona imekaaje hii??? Naomba kutoa hoja
Mbowe ni JEMBE!
Hahahaaa ni kwanini awe tinga tinga? maana mimi nnavojua tinga tinga likishafanya kazi nzuri ya kuweka lami haliruhusiwi tena kutembea juu ya barabara hiyo, linabebwa!