nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 #1 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete katika ziara ya vijana wa Tanzania nchini China.Mwaka 1984 Attachments jk.jpg 25 KB · Views: 4,380
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,258 Reaction score 13,367 Dec 6, 2015 #3 Vasco da Gama wa msoga ktk ujana wake Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,487 Dec 6, 2015 #4 Kamisaa,kumbe kaanza zamani tu kusafiri
Abuu Said JF-Expert Member Joined Jul 5, 2015 Posts 4,009 Reaction score 4,769 Dec 6, 2015 #5 Huyu mzee bhanaa namuusudu sana he is special one
Fasouls JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 937 Reaction score 321 Dec 6, 2015 #6 mzee wa kucheka cheka,hua najiuliza au ni yeye alieandika yale mashairi ya cheka cheka nini
IGUDUNG'WA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2011 Posts 2,071 Reaction score 1,317 Dec 6, 2015 #7 maaamaaaeeeeeee kumbe vaco kitambo sana yupo kwenye game la safari?
mukulupapaa JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 2,930 Reaction score 1,733 Dec 6, 2015 #8 Umesahau Alhaj
M Madam Mwajuma JF-Expert Member Joined Sep 13, 2014 Posts 7,076 Reaction score 6,774 Dec 6, 2015 #9 anapumzika baada yakustaafu
Odhiambo cairo JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 16,352 Reaction score 22,958 Dec 6, 2015 #10 Mwacheni huyo jamaa inachosha hizi thread zake
K kiliochangu JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 1,152 Reaction score 885 Dec 6, 2015 #11 u professor kaupata lini na ni wa nini?
jembe afrika JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 7,602 Reaction score 3,781 Dec 6, 2015 #12 Hovyo kabisa
nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 Thread starter #13 kiliochangu said: u professor kaupata lini na ni wa nini? Click to expand... aliupata china university of agriculture, mwezi october 2014.
kiliochangu said: u professor kaupata lini na ni wa nini? Click to expand... aliupata china university of agriculture, mwezi october 2014.
nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 Thread starter #14 bato said: Kwa hiyo Click to expand... saga chupa...
nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 Thread starter #15 Odhiambo cairo said: Mwacheni huyo jamaa inachosha hizi thread zake Click to expand... omera unalazimishwa kusoma hizi thread
Odhiambo cairo said: Mwacheni huyo jamaa inachosha hizi thread zake Click to expand... omera unalazimishwa kusoma hizi thread
nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 Thread starter #16 mukulupapaa said: Umesahau Alhaj Click to expand... daah imeniponyoka hii
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,200 Reaction score 28,082 Dec 6, 2015 #17 nash2010 said: saga chupa... Click to expand... Eti inawezekana ukawa mwanaume..sio???
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,200 Reaction score 28,082 Dec 6, 2015 #18 Kinachotokea leo..kilipangwa jana!
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,138 Reaction score 7,398 Dec 6, 2015 #19 Mtembezi matembezini..
nash2010 JF-Expert Member Joined Jun 18, 2010 Posts 624 Reaction score 216 Dec 6, 2015 Thread starter #20 lukesam said: Eti inawezekana ukawa mwanaume..sio??? Click to expand... niletee dadako, akirudi atakujibu.
lukesam said: Eti inawezekana ukawa mwanaume..sio??? Click to expand... niletee dadako, akirudi atakujibu.