sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,237
- 8,992
Hii story tuu, lakin huwa najiuliza mtu amechepuka na mke wa mtu na akampiga mimba na mume hajagundua kama mimba ni ya kwake au lah, lakni mwanamke akazibitisha kichwani mwake kuwa hii mimba ni ya mchepuko, mtoto kuzaliwa ni sura ya mchepuko, Hivi huu mchepuko unaweza kudai kupatiwa mtoto wake au kulazimisha wakapime DNA iwapo mume wa ndoa atakuwa mbishi.