- Thread starter
- #21
Yah ni kweli kbs urafiki au undug ukizidi mipaka una madhara yake. Na ndio haya yamemtokea jamaaWaswahil walishasema wema usizid uwezo.Urafik pia usikose mipaka.Siwez kuishi na kaka yangu wala ndugu yangu wa kiume ndani ya nyunba yangu .Haya mambo yalikua yanawezekana zaman sana.nitamsaidia ndugu huko hko aliko.


