Homa ya ATCL yawakumba Fastjet

Nauli zishuke bei? sijui kama iko sahihi!
 
Nimeangalia nauli DAR-KIA tarehe 14.08 (ATCL)=98,000 (one way) wakati Fastjet ni 227,000 akili ni nywele. Fastjet mkatafute kazi nyingine
 
Hili linatuonesha umuhimu wa upinzani ktk siasa.
 
Fastjet tunauziwa mpaka karanga! AtcL komaeni wayego. Ushindani wa kibiashara ni afya na manufaa kwa wateja.
#NogeshaJPM
 
Kama Pepsi na Coka, mpaka Coka wakashuka bei kuiga bei ya Pepsi.
Ile vita coka walikuwa wamelala! Walivoshtuka tayari Pepsi wameshapiga sana hela na sokoni wamejiimarisha zaidi!

Ile vita haijawaacha coka salama, mpaka Leo bado wanasrago"
 
Sawa mkuu ila sisi wa Tandahimba tunanufaika vipi na hiyo offer..?
Subiri mzazi wako aumwe afu #tandahimba barabara mbovu na mzazi wako anahitaji huduma ya faster muhimbili utajua maana ya offer ...
 
Nyumbani kwangu halafu nizidiwe na mgeni haiwezekani
Lazima Air Tanzania zifunike ardhi ya airport kama BA kwao
 
Subiri mzazi wako aumwe afu #tandahimba barabara mbovu na mzazi wako anahitaji huduma ya faster muhimbili utajua maana ya offer ...
Mkuu dizaini kama unaomba niuguliwe na mazazi[emoji851]. Tandahimba hakuna hata ramani ya uwanja wa ndege .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…