Holiday Greetings, Tuma salaam

Arushaone

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
15,235
Reaction score
13,539
Nawapenda sana. Salaam zangu za upendo Kwa JF Arusha Wing, JF Dar Wing, JF Mwanza Wing, JF Tanga Wing, JF Dodoma Wing, JF Mbeya Wing, JF Diaspora, JF Headquarters na wings zooote pamoja na individuals.

Nawatakia sherehe zenye upendo na AMANI mwaka mpya we ye mafanikio.

Amen.
 
Salamu ziwafikie wale wote wanaoingia jf na kusoma coments za watu bila wao kukomenti ...... Hususani wale wanaoishia ku like tu wakiguswa..... Mungu atuvushe salama 2014 na kwa Baraka zake tuingie 2015..
 
Natuma Salamu kwa hawa wafuatao....
Descartes : U a the best I never had.....

Dinazarde ; Love u much my shostie....

Himidini ; U a such a nyc Friend....

Khantwe wa Ntuzu : just like u beautiful onyinyee

Heaven Sent my pachaaaa....

Le Super Pacha mwekundu

Sijamsahau Hubby mtarajiwa baby boy ake Evelyn Salt .....kubemendana ndo habari ya mjiniii....wapi mkweeee.....

farkhina , Angel Nylon Mrs Kharusy like u pipoz since napenda kulaaaa

mamDenyi thijakuthahauuu

Mwisho kwa mashabiki wooote wa Arsenal na Simbaaaa.....

Nawatakia Mwaka mpya uliojaa kheri na baraka...Mola atujaalie Afya njema, atufungulie milango ya mafanikio.....
 
Last edited by a moderator:
Thanks doll. Mega love for u twin ake, kila la Kheri ma
 
mkweee Kim nana nmepokea salamu kwa mikono miwili nakutakia sikuu njema pia ila untumie ka mpesa nimpikie mchumba ako pilau na beberu!!!
salamu zingine zimfike Preta popote alipo, binti mwenye mivuto yake Husninyo, Khantwe nawe nakusalimu!!!
wazee wa pm kwa pamoja nawasalimu na kaka angu asakuta same nakutakia sikukuu njema mwayego naomba zawadi....
 
Last edited by a moderator:

Thank u Kim nana.....and thank zaidi kwa kutujulisha (hi hi hiii)... Nawe pia nikutakie sikukuu njema
 
Last edited by a moderator:

Thank u Evelyn Salt nawe pia nikutakie sikukuu njema wewe na baby boy wetu....
Nisije nikasahau...huyo kaka yako naomba mie niwe wifi yako lol
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…