Hoja ya waziri Mwigulu Nchemba serikali kuachia Trilion 5 ni absolutely Zero-sum game

Katika Kampeni za 2015 alisema anajua shida za Wananchi kwasababu amewahi kuwa Kibarua Mjenzi huko Boko na mkewe Amma Ntilie.
Leo mama Ntilie wanao uza ubwabwa wa elfu wamesahauliwa?
Mwisho atakujibu tu"mi nimepambana hadi kufika hapa,na wwe pambana acha kulialia" Maisha ni vita Muraaaa!!
 
Mh @mwigulunchemba hii hoja ya kwamba serikali imekusudia kuingiza au kuachia tsh.trilion tano kupitia kulipa wazabuni wanaoidai serikali ili ziingia katika mzunguko na kwa wananchi, hoja hii na kwa sasa kutokana na makato ya tozo hizi ni absolutely Zero-Sum Game.

Sababu fedha zitakazolipwa hizo trilion 5 zitakwenda kwa watu wa chache kwanza na mzunguko wa fedha hizo inategemea na matumizi ya wanaolipwa (Hao wazabuni) (mfano, wengine wanawezakuzipeleka nje) hivyo fedha hizo hazitarudi katika mikono ya wananchi hata robo ya kiwango kinachochukuliwa na serikali kutoka kwa wananchi.

Mbili, hizo trilion 5 ni absolutely zero sum game sababu hata muuza nyanya akibahatika kupata Tsh.2000 kati ya hiyo trilion 5 ,atakatwa kwenye muamala (itarudi serikalini) badala ya fedha hiyo angeweza nunua unga ili watoto wake wale ila atakatwa , hoja ya kuachia trilion tano ni absolutely Zero -Sum game ni sawa na kutoa mfuko wa kulia na kuweka mfuko wa kushoto katika suruali au shati moja. Na hii l believe itakuwa na Negative Multiplier effect katika uchumi sababu matumizi yatapungua (Fall of consumer spending).

Sio kwamba napinga sisi wananchi kutozwa kodi la, sipingi ila kiwango kilichotozwa ni kikubwa mno.

kulikuwa na sababu gani tozo hii kupigwa mara mbili katika muamala mmoja? yaani (Double taxation/levy in a single transaction) mfano, mtu anamtumia mama yake Tsh. 200,000 ya matibabu kwa tigo pesa, atakatwa Tsh. 4140 (Ada ya Tigo tsh.1,200 na tozo ya Serikali ni tsh.2940) zamani angekatwa Tsh. 1,200 (Ada ya tigo tu), mama yake akienda kutoa anakatwa Tsh. 8340 (Ada ya tigo 5300 na tozo ya Serikali ni 2940) zamani angekatwa 5300 tu , ila sasa lazima akatwe tsh. 8,340. Hivyo fedha ya ziada ya makato mtu anapaswa kuongeza Tsh 12,480 ili mama yake apate fedha kamili tsh. 200,000. Kabla ya tozo hii ya Serikali mtumaji angepaswa ongeza tsh. 6500 tuu ili mama apate fedha kamili tsh. 200,000.

Kwani serikali ingekosa nini katika muamala wa laki mbili ikakata elf moja tuu na akatwe anayetoa, serikali ingekosa nini?

Leo hii laki mbili anakatwa 2940, akituma anakatwa hiyo akitoa anakatwa hiyo.
Kwani angekatwa buku tu serikali ingekosa nini?

Kanuni ya makusanyo ya kikodi yanasema unavyotoza makato makubwa zaidi , ndivyo unapunguza wigo wa walipaji , ila unavyotoza kiwango kidogo na kwa unafuu unapata wigo wa mkubwa wa walipaji sababu ya kuwa na uwezo wa kulipa ("The ability to pay principle"). Tozo hizi za serikali ni kubwa mno na zinapunguza mzunguko mkubwa (Flow) ya miamala sababu watu wengi hawatakuwa na uwezo wa kulipa (Ability to pay principle) hivyo kutotumia miamala ya simu.

Serikali ingeweza kukusanya zaidi kwa kutoza kiwango kidogo na kwa muamala wa upande mmoja tuu,kwa sababu hii,mizunguko (flow) ya miamala ingekuwa mikubwa zaidi watu wangeendelea kulipa bila maumivu na serikali ingepata zaidi kwa kutoza kiwango kidogo kwa walipaji wengi kuliko sasa Serikali inatoza kiwango kikubwa, matokeo yake mizunguko ya miamala itashuka na serikali hatimaye itapata kidogo zaidi. Hata huyo Mh.Zungu alishauri kukata tozo ya sh.50 hadi 100, hakushauri kiwango kikubwa namna hii.
Unamdomo mrefu Kama kasuku .tangu umalizia chuo hujawahi kufanya kazi popote hata Field yako huijui achilia mbali uchumi

Hizi tozo muulize mpango atakusaidia

USSR
 
Unamdomo mrefu Kama kasuku .tangu umalizia chuo hujawahi kufanya kazi popote hata Field yako huijui achilia mbali uchumi

Hizi tozo muulize mpango atakusaidia

USSR
Umemsikia Mama Mh. Rais ?
 
Mh @mwigulunchemba hii hoja ya kwamba serikali imekusudia kuingiza au kuachia tsh.trilion tano kupitia kulipa wazabuni wanaoidai serikali ili ziingia katika mzunguko na kwa wananchi, hoja hii na kwa sasa kutokana na makato ya tozo hizi ni absolutely Zero-Sum Game.

Sababu fedha zitakazolipwa hizo trilion 5 zitakwenda kwa watu wa chache kwanza na mzunguko wa fedha hizo inategemea na matumizi ya wanaolipwa (Hao wazabuni) (mfano, wengine wanawezakuzipeleka nje) hivyo fedha hizo hazitarudi katika mikono ya wananchi hata robo ya kiwango kinachochukuliwa na serikali kutoka kwa wananchi.

Mbili, hizo trilion 5 ni absolutely zero sum game sababu hata muuza nyanya akibahatika kupata Tsh.2000 kati ya hiyo trilion 5 ,atakatwa kwenye muamala (itarudi serikalini) badala ya fedha hiyo angeweza nunua unga ili watoto wake wale ila atakatwa , hoja ya kuachia trilion tano ni absolutely Zero -Sum game ni sawa na kutoa mfuko wa kulia na kuweka mfuko wa kushoto katika suruali au shati moja. Na hii l believe itakuwa na Negative Multiplier effect katika uchumi sababu matumizi yatapungua (Fall of consumer spending).

Sio kwamba napinga sisi wananchi kutozwa kodi la, sipingi ila kiwango kilichotozwa ni kikubwa mno.

kulikuwa na sababu gani tozo hii kupigwa mara mbili katika muamala mmoja? yaani (Double taxation/levy in a single transaction) mfano, mtu anamtumia mama yake Tsh. 200,000 ya matibabu kwa tigo pesa, atakatwa Tsh. 4140 (Ada ya Tigo tsh.1,200 na tozo ya Serikali ni tsh.2940) zamani angekatwa Tsh. 1,200 (Ada ya tigo tu), mama yake akienda kutoa anakatwa Tsh. 8340 (Ada ya tigo 5300 na tozo ya Serikali ni 2940) zamani angekatwa 5300 tu , ila sasa lazima akatwe tsh. 8,340. Hivyo fedha ya ziada ya makato mtu anapaswa kuongeza Tsh 12,480 ili mama yake apate fedha kamili tsh. 200,000. Kabla ya tozo hii ya Serikali mtumaji angepaswa ongeza tsh. 6500 tuu ili mama apate fedha kamili tsh. 200,000.

Kwani serikali ingekosa nini katika muamala wa laki mbili ikakata elf moja tuu na akatwe anayetoa, serikali ingekosa nini?

Leo hii laki mbili anakatwa 2940, akituma anakatwa hiyo akitoa anakatwa hiyo.
Kwani angekatwa buku tu serikali ingekosa nini?

Kanuni ya makusanyo ya kikodi yanasema unavyotoza makato makubwa zaidi , ndivyo unapunguza wigo wa walipaji , ila unavyotoza kiwango kidogo na kwa unafuu unapata wigo wa mkubwa wa walipaji sababu ya kuwa na uwezo wa kulipa ("The ability to pay principle"). Tozo hizi za serikali ni kubwa mno na zinapunguza mzunguko mkubwa (Flow) ya miamala sababu watu wengi hawatakuwa na uwezo wa kulipa (Ability to pay principle) hivyo kutotumia miamala ya simu.

Serikali ingeweza kukusanya zaidi kwa kutoza kiwango kidogo na kwa muamala wa upande mmoja tuu,kwa sababu hii,mizunguko (flow) ya miamala ingekuwa mikubwa zaidi watu wangeendelea kulipa bila maumivu na serikali ingepata zaidi kwa kutoza kiwango kidogo kwa walipaji wengi kuliko sasa Serikali inatoza kiwango kikubwa, matokeo yake mizunguko ya miamala itashuka na serikali hatimaye itapata kidogo zaidi. Hata huyo Mh.Zungu alishauri kukata tozo ya sh.50 hadi 100, hakushauri kiwango kikubwa namna hii.
Nondo, Asante kwa ufafanuzi. Wazo langu ni kwamba hawa hawajui kula na kipofu. Kwanza kwa gharama hiyo tu kwa mtumaji ya Tsh2940 badala ya kupiga mtumaji na mpokeaji kiasi hicho kinachofanana yani jumla gharama ya Serikali ni Tsh 2,940x2 =5,880 wangekuwa waungwana basi Tsh 2940 wagawe mara mbili yani @ Tsh1470 waichangie mpokeaji na mtumaji.

Lazima, uanze na makato madogo ili uwandae wananchi kisaikologia. Alafu watu wakisusa miamala ya simu, na serikali ijue faida kwa makampuni ya simu itashuka na hivyo faida kuwa chini na kodi kushuka pia. Zinduka mchumi wetu P'se!!!
 
Mh @mwigulunchemba hii hoja ya kwamba serikali imekusudia kuingiza au kuachia tsh.trilion tano kupitia kulipa wazabuni wanaoidai serikali ili ziingia katika mzunguko na kwa wananchi, hoja hii na kwa sasa kutokana na makato ya tozo hizi ni absolutely Zero-Sum Game.

Sababu fedha zitakazolipwa hizo trilion 5 zitakwenda kwa watu wa chache kwanza na mzunguko wa fedha hizo inategemea na matumizi ya wanaolipwa (Hao wazabuni) (mfano, wengine wanawezakuzipeleka nje) hivyo fedha hizo hazitarudi katika mikono ya wananchi hata robo ya kiwango kinachochukuliwa na serikali kutoka kwa wananchi.

Mbili, hizo trilion 5 ni absolutely zero sum game sababu hata muuza nyanya akibahatika kupata Tsh.2000 kati ya hiyo trilion 5 ,atakatwa kwenye muamala (itarudi serikalini) badala ya fedha hiyo angeweza nunua unga ili watoto wake wale ila atakatwa , hoja ya kuachia trilion tano ni absolutely Zero -Sum game ni sawa na kutoa mfuko wa kulia na kuweka mfuko wa kushoto katika suruali au shati moja. Na hii l believe itakuwa na Negative Multiplier effect katika uchumi sababu matumizi yatapungua (Fall of consumer spending).

Sio kwamba napinga sisi wananchi kutozwa kodi la, sipingi ila kiwango kilichotozwa ni kikubwa mno.

kulikuwa na sababu gani tozo hii kupigwa mara mbili katika muamala mmoja? yaani (Double taxation/levy in a single transaction) mfano, mtu anamtumia mama yake Tsh. 200,000 ya matibabu kwa tigo pesa, atakatwa Tsh. 4140 (Ada ya Tigo tsh.1,200 na tozo ya Serikali ni tsh.2940) zamani angekatwa Tsh. 1,200 (Ada ya tigo tu), mama yake akienda kutoa anakatwa Tsh. 8340 (Ada ya tigo 5300 na tozo ya Serikali ni 2940) zamani angekatwa 5300 tu , ila sasa lazima akatwe tsh. 8,340. Hivyo fedha ya ziada ya makato mtu anapaswa kuongeza Tsh 12,480 ili mama yake apate fedha kamili tsh. 200,000. Kabla ya tozo hii ya Serikali mtumaji angepaswa ongeza tsh. 6500 tuu ili mama apate fedha kamili tsh. 200,000.

Kwani serikali ingekosa nini katika muamala wa laki mbili ikakata elf moja tuu na akatwe anayetoa, serikali ingekosa nini?

Leo hii laki mbili anakatwa 2940, akituma anakatwa hiyo akitoa anakatwa hiyo.
Kwani angekatwa buku tu serikali ingekosa nini?

Kanuni ya makusanyo ya kikodi yanasema unavyotoza makato makubwa zaidi , ndivyo unapunguza wigo wa walipaji , ila unavyotoza kiwango kidogo na kwa unafuu unapata wigo wa mkubwa wa walipaji sababu ya kuwa na uwezo wa kulipa ("The ability to pay principle"). Tozo hizi za serikali ni kubwa mno na zinapunguza mzunguko mkubwa (Flow) ya miamala sababu watu wengi hawatakuwa na uwezo wa kulipa (Ability to pay principle) hivyo kutotumia miamala ya simu.

Serikali ingeweza kukusanya zaidi kwa kutoza kiwango kidogo na kwa muamala wa upande mmoja tuu,kwa sababu hii,mizunguko (flow) ya miamala ingekuwa mikubwa zaidi watu wangeendelea kulipa bila maumivu na serikali ingepata zaidi kwa kutoza kiwango kidogo kwa walipaji wengi kuliko sasa Serikali inatoza kiwango kikubwa, matokeo yake mizunguko ya miamala itashuka na serikali hatimaye itapata kidogo zaidi. Hata huyo Mh.Zungu alishauri kukata tozo ya sh.50 hadi 100, hakushauri kiwango kikubwa namna hii.
Vipi mmeshawapongeza CCM kwa ushindi?
 
Back
Top Bottom