jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,703
- 7,581
Mwisho atakujibu tu"mi nimepambana hadi kufika hapa,na wwe pambana acha kulialia" Maisha ni vita Muraaaa!!Katika Kampeni za 2015 alisema anajua shida za Wananchi kwasababu amewahi kuwa Kibarua Mjenzi huko Boko na mkewe Amma Ntilie.
Leo mama Ntilie wanao uza ubwabwa wa elfu wamesahauliwa?