Huyo ni mpumbavu anaongea haya sababu wao hawakuendeleza mjadala wa Katiba mpya
Labda tujiulize, Rais anayetoka si ndio aliyepo mpaka siku atakapoapa mwingine??
Kwa hiyo anataka kusema haitatokea Rais anayetoka sababu Rais anayetoka huwa hayupo Bali siku anayotoka ndio anakuwa ameshatoka na anayeingia hawezi kuja kuwa Rais anayetoka mpaka atakapotoka.
Kwa maana nyingine basi Katiba haitapatikana. Jinga kabisa huyu mzee kijana