johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa....... Kama namuona Halima!
Hahahaaaa....... Kama namuona Halima!
Wa nchi gani?!Sio Wananchi ?
Ni Naibu SpeakerHahahaaaa....... Kama namuona Halima!
Kifua cha halima!Ni Naibu Speaker
Kwani kuna mtu amesema anataka kutengeneza Katiba ya Rais? Wanaotaka Katiba ni wananchi itakayowasaidia kuendesha nchi yao kwa ustawi wa wote. Rais anapita lakini nchi na Wananchi hawatapita mpaka utimilifu wa dahari. Kwa hiyo kama Polepole anataka kutengeneza Katiba ya Rais akamwone SASHA amsaidie kutengeneza Katiba ya Ikulu kwa kutumia uzoefu alioupata wakati wa kutengeneza Katiba ya wananchi mwaka 2014.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba " Warioba" na mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema Katiba huwa inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani na siyo Rais aliyeingia madarakani
Polepole amesema hata mzee Kikwete alitaka kutengeneza katiba mpya wakati anatoka madarakani
Hivyo wale wote wanaoshinikiza katiba mpya sasa wanafanya kosa kubwa amesisitiza Polepole.
Source: The Big Agenda Star tv.
Mnajuana CCM na covid 19Kifua cha halima!
Nyie mnajuana na majaji!Mnajuana CCM na covid 19
Bwashe yale matambo 'Katiba Mpya siyo priority kwa sasa' mbona ni kama yanayeyuka? Mabeberu wamewaweka kati?Ilikuwa ni katiba mpya?
Sasa kama kaongea pumba watu wasimshangae? Mtu aliyepata kupata kuwa kiongozi ngazi ya juu chamani anapogeuka viral against the leadership of the same Party lazima tumshangae.Ila Wapo watu wamepewa 'Natural inborn power'.Huyu Polepole ni mmoja Wao.
Yaani Mtu kaenda kufanya mahojiano ya Kawaida tu Kituo cha TV..! Sasa Mahojiano hayo Yamekuwa ni kama Mahojiano Ya Taifa. Mijadala kila kona.
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba " Warioba" na mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema Katiba huwa inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani na siyo Rais aliyeingia madarakani
Polepole amesema hata mzee Kikwete alitaka kutengeneza katiba mpya wakati anatoka madarakani
Hivyo wale wote wanaoshinikiza katiba mpya sasa wanafanya kosa kubwa amesisitiza Polepole.
Source: The Big Agenda Star tv.
Kama Rais ni mzalendo wa kweli na ni muhumini wa kweli anaye muogopa m/Mungu, hawezi kuogopa katiba mpya.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba " Warioba" na mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema Katiba huwa inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani na siyo Rais aliyeingia madarakani
Polepole amesema hata mzee Kikwete alitaka kutengeneza katiba mpya wakati anatoka madarakani
Hivyo wale wote wanaoshinikiza katiba mpya sasa wanafanya kosa kubwa amesisitiza Polepole.
Source: The Big Agenda Star tv.
Kama Rais ni mzalendo wa kweli na ni muhumini wa kweli anaye muogopa m/Mungu, hawezi kuogopa katiba mpya.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Katiba " Warioba" na mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema Katiba huwa inatengenezwa na Rais anayetoka madarakani na siyo Rais aliyeingia madarakani
Polepole amesema hata mzee Kikwete alitaka kutengeneza katiba mpya wakati anatoka madarakani
Hivyo wale wote wanaoshinikiza katiba mpya sasa wanafanya kosa kubwa amesisitiza Polepole.
Source: The Big Agenda Star tv.
Hakika mkuu!Kuna ka ukweli flani. Rejea mchakato wa mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar chini ya serikali ya Rais Aman Karume na Ile ya JMT chini ya Mh Kikwete. Wote walianzisha michakato kwenye terms zao za mwisho.