Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,948
Mkuu mokaze je, unafahamu Maneno yaliyo kwenye wimbo wa Taifa wa Zambia? Je unafahamu maneno yaliyo kwenye wimbo wa Taifa wa Afrika ya kusini? Kwa tune hiyo hiyo?
Unataka kunambia huyo mzee aliwatungia lia Zambia na akawatungia na Afrika ya kusini? Sabbu maneno ni yale yale ila yamebadirishwa majina tu ya Nchi na Lugha.
Au kwako wewe kutunga ni kutafsiri kutoka lugha fulani kwenda kiswahili.
Tune (tyuni) ni jinsi ya kuimba tu wala haihusiani na maneno yaliyomo ndani ya hizo nyimbo, yaani maneno yaliyomo katika hizo nyimbo yanayo maudhui tofauti isipokuwa "tune" ni ileile. Kumbuka kuwa hakuna duniani nchi zenye wimbo mmoja wa taifa yaani contents zote za wimbo wa taifa zinazofanana exactl ila "tune" (aina ya uimbaji) inaweza kufanana.