Hoja ya CCM kutumia vyombo vya Dola

Hoja ya CCM kutumia vyombo vya Dola

Shule za kata zimeleta maafa ivi unaelewa tofauti kati ya chama, Dola na serikali. Kwa akili yako ya huko ukisikia serikali unawaza nini? Kwa akili yako unadhani ni chama?
 
Nimeona nilitolee ufafanuzi suala matumizi ya vyombo vya dola. Kuna dhana potofu imezagaa haswa kwa wanaharakati uchwara wa haki za binadamu na vyama vya upinzani.

Ukisikiliza hoja na kauli zao wanaonyesha kujikita kwenye upotofu kuwa chama tawala kutumia vyombo vya dola ni sifa mbaya. Kwao sifa nzuri ni kutotumia vyombo vya dola kujiimarisha kichama.

Hii ni dhana potofu mno! Sifa kuu ya chama chochote cha siasa nchi yoyote ile duniani ni kutwaa madaraka ili kiwe na uwezo wa kusimamia na kutumia vyombo na taasisi za dola ili kujisimika na kujiimarisha ikiwezekana milele. Ndivyo ilivyo US, UK, France, Germany, Australia, Japan na kote duniani. Ndio ndio haswa msingi na madhumuni ya uchaguzi mkuu. Chama kinachoenda kwenye uchaguzi mkuu bila kutambua hili kinakuwa hakiko serious. Hakijui kitakacho!

Ni kichekesho chama kilichoshindwa uchaguzi kuhoji kwa nini chama kilichoshinda kinatumia vyombo vya dola! Hivi kitumie nini? Si kimepata ridhaa ya kutumia vyombo na taasisi za dola! Chama ambacho kimepewa ridhaa hii halafu kikaacha kutumia vyombo na taasisi za dola kujiimarisha na kujisimika na kuwasambaratisha mahasimu wao kitakuwa chama cha kijinga mno. Hebu fikiri jinsi chadema inavyofurukuta kuharibu juhudi zote za serikali ya ccm! Ccm isijibu mapigo? Haiwezekani hata kidogo.

Ikiwa chadema au CUF au yeyote mwingine anataka CCM isitumie vyombo na taasisi za dola wanapaswa kufanya kitu kimoja tu: kupigana kiume washinde uchaguzi mkuu. Hakuna namna nyingine! Hata wao wakishinda watatumia vyombo na taasisi za dola kujisimika! Tusidanganyane!

Hamna sababu ya CCM na wanachama wake kuona aibu kuhusu kutumia vyombo na taasisi za dola! Sio aibu bali ni sifa! Chama makini hufanikiwa kushika dola! Chama dhaifu huambulia kushika serikali kivuli! Serikali isiyo na chombo wala taasisi yoyote ya dola!

Sasa hivi kwa mfano Republicans ndio wenye dhamana nchini marekani. Wanatumia chombo kimojawapo cha dola kufuta karibu kila lilioanzishwa na Democrats! Mfuko Wa bima ya afya, Green Card, Paris Agreement on climate change, mkataba na Iran, Wamevunjavunja! Democrats kwa kutambua wenzao ndio wenye dhamana wametulia tulii wananyolewa bila maji! Wanaofurukuta wanatishiwa kufutiwa kinga ya kibalozi au congress!

CCM isione haya kutumia vyombo vya dola! Mkiona haya siku wenzenu watapewa dhamana ya kuvimiliki mtaona!!! Kwa sasa ni wivu na maumivu ndio yanawafanya walalamike!
Yani hili ni bandiko LA kipumbavu mpaka mkeo akilisoma atachepuka Kwa kua ataamini uwezo wako WA kujenga hoja ni wakishoga !!! Idiot
 
Nimeona nilitolee ufafanuzi suala matumizi ya vyombo vya dola. Kuna dhana potofu imezagaa haswa kwa wanaharakati uchwara wa haki za binadamu na vyama vya upinzani.

Ukisikiliza hoja na kauli zao wanaonyesha kujikita kwenye upotofu kuwa chama tawala kutumia vyombo vya dola ni sifa mbaya. Kwao sifa nzuri ni kutotumia vyombo vya dola kujiimarisha kichama.

Hii ni dhana potofu mno! Sifa kuu ya chama chochote cha siasa nchi yoyote ile duniani ni kutwaa madaraka ili kiwe na uwezo wa kusimamia na kutumia vyombo na taasisi za dola ili kujisimika na kujiimarisha ikiwezekana milele. Ndivyo ilivyo US, UK, France, Germany, Australia, Japan na kote duniani. Ndio ndio haswa msingi na madhumuni ya uchaguzi mkuu. Chama kinachoenda kwenye uchaguzi mkuu bila kutambua hili kinakuwa hakiko serious. Hakijui kitakacho!

Ni kichekesho chama kilichoshindwa uchaguzi kuhoji kwa nini chama kilichoshinda kinatumia vyombo vya dola! Hivi kitumie nini? Si kimepata ridhaa ya kutumia vyombo na taasisi za dola! Chama ambacho kimepewa ridhaa hii halafu kikaacha kutumia vyombo na taasisi za dola kujiimarisha na kujisimika na kuwasambaratisha mahasimu wao kitakuwa chama cha kijinga mno. Hebu fikiri jinsi chadema inavyofurukuta kuharibu juhudi zote za serikali ya ccm! Ccm isijibu mapigo? Haiwezekani hata kidogo.

Ikiwa chadema au CUF au yeyote mwingine anataka CCM isitumie vyombo na taasisi za dola wanapaswa kufanya kitu kimoja tu: kupigana kiume washinde uchaguzi mkuu. Hakuna namna nyingine! Hata wao wakishinda watatumia vyombo na taasisi za dola kujisimika! Tusidanganyane!

Hamna sababu ya CCM na wanachama wake kuona aibu kuhusu kutumia vyombo na taasisi za dola! Sio aibu bali ni sifa! Chama makini hufanikiwa kushika dola! Chama dhaifu huambulia kushika serikali kivuli! Serikali isiyo na chombo wala taasisi yoyote ya dola!

Sasa hivi kwa mfano Republicans ndio wenye dhamana nchini marekani. Wanatumia chombo kimojawapo cha dola kufuta karibu kila lilioanzishwa na Democrats! Mfuko Wa bima ya afya, Green Card, Paris Agreement on climate change, mkataba na Iran, Wamevunjavunja! Democrats kwa kutambua wenzao ndio wenye dhamana wametulia tulii wananyolewa bila maji! Wanaofurukuta wanatishiwa kufutiwa kinga ya kibalozi au congress!

CCM isione haya kutumia vyombo vya dola! Mkiona haya siku wenzenu watapewa dhamana ya kuvimiliki mtaona!!! Kwa sasa ni wivu na maumivu ndio yanawafanya walalamike!
Wenzako hulipuliza jioni baada ya kula na kushiba, mchana si vizuri kulipuliza kwani jua ni kali na linaweza kusababisha uvurugikiwe akili, unaona sasa kilichokupata, usirudie tena, masikini Tumaini amepoteza tumaini.
 
Nimeona nilitolee ufafanuzi suala matumizi ya vyombo vya dola. Kuna dhana potofu imezagaa haswa kwa wanaharakati uchwara wa haki za binadamu na vyama vya upinzani.

Ukisikiliza hoja na kauli zao wanaonyesha kujikita kwenye upotofu kuwa chama tawala kutumia vyombo vya dola ni sifa mbaya. Kwao sifa nzuri ni kutotumia vyombo vya dola kujiimarisha kichama.

Hii ni dhana potofu mno! Sifa kuu ya chama chochote cha siasa nchi yoyote ile duniani ni kutwaa madaraka ili kiwe na uwezo wa kusimamia na kutumia vyombo na taasisi za dola ili kujisimika na kujiimarisha ikiwezekana milele. Ndivyo ilivyo US, UK, France, Germany, Australia, Japan na kote duniani. Ndio ndio haswa msingi na madhumuni ya uchaguzi mkuu. Chama kinachoenda kwenye uchaguzi mkuu bila kutambua hili kinakuwa hakiko serious. Hakijui kitakacho!

Ni kichekesho chama kilichoshindwa uchaguzi kuhoji kwa nini chama kilichoshinda kinatumia vyombo vya dola! Hivi kitumie nini? Si kimepata ridhaa ya kutumia vyombo na taasisi za dola! Chama ambacho kimepewa ridhaa hii halafu kikaacha kutumia vyombo na taasisi za dola kujiimarisha na kujisimika na kuwasambaratisha mahasimu wao kitakuwa chama cha kijinga mno. Hebu fikiri jinsi chadema inavyofurukuta kuharibu juhudi zote za serikali ya ccm! Ccm isijibu mapigo? Haiwezekani hata kidogo.

Ikiwa chadema au CUF au yeyote mwingine anataka CCM isitumie vyombo na taasisi za dola wanapaswa kufanya kitu kimoja tu: kupigana kiume washinde uchaguzi mkuu. Hakuna namna nyingine! Hata wao wakishinda watatumia vyombo na taasisi za dola kujisimika! Tusidanganyane!

Hamna sababu ya CCM na wanachama wake kuona aibu kuhusu kutumia vyombo na taasisi za dola! Sio aibu bali ni sifa! Chama makini hufanikiwa kushika dola! Chama dhaifu huambulia kushika serikali kivuli! Serikali isiyo na chombo wala taasisi yoyote ya dola!

Sasa hivi kwa mfano Republicans ndio wenye dhamana nchini marekani. Wanatumia chombo kimojawapo cha dola kufuta karibu kila lilioanzishwa na Democrats! Mfuko Wa bima ya afya, Green Card, Paris Agreement on climate change, mkataba na Iran, Wamevunjavunja! Democrats kwa kutambua wenzao ndio wenye dhamana wametulia tulii wananyolewa bila maji! Wanaofurukuta wanatishiwa kufutiwa kinga ya kibalozi au congress!

CCM isione haya kutumia vyombo vya dola! Mkiona haya siku wenzenu watapewa dhamana ya kuvimiliki mtaona!!! Kwa sasa ni wivu na maumivu ndio yanawafanya walalamike!
Rubbish
 
Huna akili! Wamarekani hawafanyi siasa za kijinga.
Unatetea nini? Kutumia mabavu hakujawahi kutatua matatizo popote.
 
Soma katiba kwanza sio kukurupuka unajaza server
Nimeona nilitolee ufafanuzi suala matumizi ya vyombo vya dola. Kuna dhana potofu imezagaa haswa kwa wanaharakati uchwara wa haki za binadamu na vyama vya upinzani.

Ukisikiliza hoja na kauli zao wanaonyesha kujikita kwenye upotofu kuwa chama tawala kutumia vyombo vya dola ni sifa mbaya. Kwao sifa nzuri ni kutotumia vyombo vya dola kujiimarisha kichama.

Hii ni dhana potofu mno! Sifa kuu ya chama chochote cha siasa nchi yoyote ile duniani ni kutwaa madaraka ili kiwe na uwezo wa kusimamia na kutumia vyombo na taasisi za dola ili kujisimika na kujiimarisha ikiwezekana milele. Ndivyo ilivyo US, UK, France, Germany, Australia, Japan na kote duniani. Ndio ndio haswa msingi na madhumuni ya uchaguzi mkuu. Chama kinachoenda kwenye uchaguzi mkuu bila kutambua hili kinakuwa hakiko serious. Hakijui kitakacho!

Ni kichekesho chama kilichoshindwa uchaguzi kuhoji kwa nini chama kilichoshinda kinatumia vyombo vya dola! Hivi kitumie nini? Si kimepata ridhaa ya kutumia vyombo na taasisi za dola! Chama ambacho kimepewa ridhaa hii halafu kikaacha kutumia vyombo na taasisi za dola kujiimarisha na kujisimika na kuwasambaratisha mahasimu wao kitakuwa chama cha kijinga mno. Hebu fikiri jinsi chadema inavyofurukuta kuharibu juhudi zote za serikali ya ccm! Ccm isijibu mapigo? Haiwezekani hata kidogo.

Ikiwa chadema au CUF au yeyote mwingine anataka CCM isitumie vyombo na taasisi za dola wanapaswa kufanya kitu kimoja tu: kupigana kiume washinde uchaguzi mkuu. Hakuna namna nyingine! Hata wao wakishinda watatumia vyombo na taasisi za dola kujisimika! Tusidanganyane!

Hamna sababu ya CCM na wanachama wake kuona aibu kuhusu kutumia vyombo na taasisi za dola! Sio aibu bali ni sifa! Chama makini hufanikiwa kushika dola! Chama dhaifu huambulia kushika serikali kivuli! Serikali isiyo na chombo wala taasisi yoyote ya dola!

Sasa hivi kwa mfano Republicans ndio wenye dhamana nchini marekani. Wanatumia chombo kimojawapo cha dola kufuta karibu kila lilioanzishwa na Democrats! Mfuko Wa bima ya afya, Green Card, Paris Agreement on climate change, mkataba na Iran, Wamevunjavunja! Democrats kwa kutambua wenzao ndio wenye dhamana wametulia tulii wananyolewa bila maji! Wanaofurukuta wanatishiwa kufutiwa kinga ya kibalozi au congress!

CCM isione haya kutumia vyombo vya dola! Mkiona haya siku wenzenu watapewa dhamana ya kuvimiliki mtaona!!! Kwa sasa ni wivu na maumivu ndio yanawafanya walalamike!
 
Huko Tarime mara Magufuli alitoa kauli ya kuwa kwenye utawala wake mwenye pesa yaani tajiri aliyezoea kuwafanya chochote masikini wanyonge kisha kuwabambikia kesi hana nafasi bali yeye kwenye utawala wake Tajiri atafanywa chochote, Cha ajabu na kushangaza huko huko Tarime OCD alichukua Pesa Rushwa toka kwa matajiri wa madini akaenda kutengeneza mgogoro feki ili apate kisingizio kwenda na Polisi wake kuwapiga wananchi wachimbaji wadogo wadogo masikini wanyonge kuwapora mali zao, madini kisha kuwabambikia kesi ili pindi wakiwa jela matajiri wapate fursa nzuri kuwapora madini yao, vyombo vya dola vya CCM huwa havimuogopi magufuli sehemu nyingi ndani ya Tanzania huo mfano wa Tarime ni mojawapo tu, utumiaji wa vyombo vya dola Tanzania ni utumiaji Haramu kuliko popote Duniani.
 
Hapa umeanika ujinga wako!Halafu hujui unachokiongea!
Unajua vyombo vya dola ni vipi?Green Card huko marekani,inahusiana vipi na vyombo vya dola?
What a jerk!!!
 
Wenzako hulipuliza jioni baada ya kula na kushiba, mchana si vizuri kulipuliza kwani jua ni kali na linaweza kusababisha uvurugikiwe akili, unaona sasa kilichokupata, usirudie tena, masikini Tumaini amepoteza tumaini.
hovyo kabisa huyu.
 
Nimeona nilitolee ufafanuzi suala matumizi ya vyombo vya dola. Kuna dhana potofu imezagaa haswa kwa wanaharakati uchwara wa haki za binadamu na vyama vya upinzani.

Ukisikiliza hoja na kauli zao wanaonyesha kujikita kwenye upotofu kuwa chama tawala kutumia vyombo vya dola ni sifa mbaya. Kwao sifa nzuri ni kutotumia vyombo vya dola kujiimarisha kichama.

Hii ni dhana potofu mno! Sifa kuu ya chama chochote cha siasa nchi yoyote ile duniani ni kutwaa madaraka ili kiwe na uwezo wa kusimamia na kutumia vyombo na taasisi za dola ili kujisimika na kujiimarisha ikiwezekana milele. Ndivyo ilivyo US, UK, France, Germany, Australia, Japan na kote duniani. Ndio ndio haswa msingi na madhumuni ya uchaguzi mkuu. Chama kinachoenda kwenye uchaguzi mkuu bila kutambua hili kinakuwa hakiko serious. Hakijui kitakacho!

Ni kichekesho chama kilichoshindwa uchaguzi kuhoji kwa nini chama kilichoshinda kinatumia vyombo vya dola! Hivi kitumie nini? Si kimepata ridhaa ya kutumia vyombo na taasisi za dola! Chama ambacho kimepewa ridhaa hii halafu kikaacha kutumia vyombo na taasisi za dola kujiimarisha na kujisimika na kuwasambaratisha mahasimu wao kitakuwa chama cha kijinga mno. Hebu fikiri jinsi chadema inavyofurukuta kuharibu juhudi zote za serikali ya ccm! Ccm isijibu mapigo? Haiwezekani hata kidogo.

Ikiwa chadema au CUF au yeyote mwingine anataka CCM isitumie vyombo na taasisi za dola wanapaswa kufanya kitu kimoja tu: kupigana kiume washinde uchaguzi mkuu. Hakuna namna nyingine! Hata wao wakishinda watatumia vyombo na taasisi za dola kujisimika! Tusidanganyane!

Hamna sababu ya CCM na wanachama wake kuona aibu kuhusu kutumia vyombo na taasisi za dola! Sio aibu bali ni sifa! Chama makini hufanikiwa kushika dola! Chama dhaifu huambulia kushika serikali kivuli! Serikali isiyo na chombo wala taasisi yoyote ya dola!

Sasa hivi kwa mfano Republicans ndio wenye dhamana nchini marekani. Wanatumia chombo kimojawapo cha dola kufuta karibu kila lilioanzishwa na Democrats! Mfuko Wa bima ya afya, Green Card, Paris Agreement on climate change, mkataba na Iran, Wamevunjavunja! Democrats kwa kutambua wenzao ndio wenye dhamana wametulia tulii wananyolewa bila maji! Wanaofurukuta wanatishiwa kufutiwa kinga ya kibalozi au congress!

CCM isione haya kutumia vyombo vya dola! Mkiona haya siku wenzenu watapewa dhamana ya kuvimiliki mtaona!!! Kwa sasa ni wivu na maumivu ndio yanawafanya walalamike!

Ndiyo maana tunasema sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom