cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Heshima mbele.
Wakuu hili jambo ni zito na halivumiliki hili linasemwa live na watendaji wanaosimamia bara bara hiyo;bwana Musa Ally mkazi wa segera anasema hawa jamaa wanajifanya kila siku wanatengeneza kipande hiki hiki lakini wana lao jambo ikifika usiku wanachimba madini yetu wananchi tumelalamika sana mwisho tumechoka tunaiachia serikali jambo hili hata mbunge wa eneo hili tulishamfahamisha lakini hakuna kinachoendelea na nakutaarifu kwa mwendo wao bara bara hii haiwezi kuisha leo kila siku wapo pale pale tu
Naomba ikiwezekana wataalamu wa mazini wizara ya Nishati na madini wachunguze vizuri mali za watanzania zinavyoibiwa na wasiopenda maendeleo!
My take hata kwa macho wa Tanzania tunaona ni kweli kwa nini barabara hiyo haitengenezwa kwa spidi kama ilivyo hii ya dar es samam
Wakuu hili jambo ni zito na halivumiliki hili linasemwa live na watendaji wanaosimamia bara bara hiyo;bwana Musa Ally mkazi wa segera anasema hawa jamaa wanajifanya kila siku wanatengeneza kipande hiki hiki lakini wana lao jambo ikifika usiku wanachimba madini yetu wananchi tumelalamika sana mwisho tumechoka tunaiachia serikali jambo hili hata mbunge wa eneo hili tulishamfahamisha lakini hakuna kinachoendelea na nakutaarifu kwa mwendo wao bara bara hii haiwezi kuisha leo kila siku wapo pale pale tu
Naomba ikiwezekana wataalamu wa mazini wizara ya Nishati na madini wachunguze vizuri mali za watanzania zinavyoibiwa na wasiopenda maendeleo!
My take hata kwa macho wa Tanzania tunaona ni kweli kwa nini barabara hiyo haitengenezwa kwa spidi kama ilivyo hii ya dar es samam